Skip to main content

Posts

Showing posts from July 18, 2010

JIMBO LA IRINGA MJINI

Bw. Fredrick Lameck Mwakalebela  amepania kuleta maendeleo katika Jimbo la Iringa Mjini, anaomba kuungwa mkono na mwananchi wa Iringa Mjini ili kwa pamoja mweze kulisukuma gurudumu la maendeleo. Anaomba kura zanu katika kura za maoni na kura katika uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.