Skip to main content

Posts

Showing posts from September 7, 2017

TANESCO YAKABIDHI NYUMBA MBILI ZA WALIMU SHULE YA SEKONDARI MTERA DAM

Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Mhe.Jabir Shekimweri, (kushoto), akifungua pazia ikiwa ni ishara ya kuzindua nyumba mpya ya Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Mtera DAM, iliyoko jirani na Kituo cha Kufua Umeme wa maji, Mtera, katikati ya mikoa ya Dodoma na Iringa, Septemba 6, 2017. Nyumba hiyo na nyingine iliyokarabatiwa zimejengwa kwa msada wa TANESCO kwa thamani ya shilingi milioni 35. Wengine pichani, ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, anayeshughulikia usambazaji umeme na huduma kwa wateja mama Joyce Ngahyoma,(wakwanza kulia), aliyemwakilisha Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, , (kulia) na Naibu Mkurugenzi Mtendaji anayeshughulikia Ufuaji umeme, Mhandisi Abdallah Ikwasa. (kushoto), na Mkuu wa shule hiyo, Bw. Simon Dissa. SHIRIKA la Umeme Tanzania, (TANESCO), limekabidhi majengo mawili ya nyumba za walimu, shule ya sekondari Mtera DAM, iliyoko jirani na Bwawa la kufua umeme wa maji Mtera, (Mtera Hydro Power Plant), lililoko katikati ya mikoa ya Dodoma na ...

WATAHINIWA 24,906 WA DARASA LA 7 MKOANI WAFANYA MITIHANI

Wakati Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), likitangaza rasmi kuanza kwa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE), kesho Septemba 6 mwaka huu, kote nchini, wito umetolewa kwa wazazi kutobweteka badala yake waanze maandalizi ya watoto hapo baadaye.  Wito huyo umetolea na Afisa Elimu wa Mkoa wa Iringa (REO) Bw. Majuto Salehe Njanga wakati akiongea na gazeti la mwananchi katika mahojiano maalum leo. Bw. Njanga alitoa wito kwa wazazi kuwa huu si wakati wa kubweteka na kujisahau na matokeo yake mnashtuka siku za mwisho mtoto ameshachaguliwa kwenda sekondari huku hamjafanya maandalizi. “Kuanzia sasa wazazi na walezi, anzeni kujiwekea akiba kwa tahadhari ili watoto wenu watakapochaguliwa kuendelea na masomo, basi msione uzito wa kuwapeleka sekondari,” alisema Bw. njanga  Chonde chonde wazazi wenzangu, endapo mtaanza kujiwekea akiba kidogo kidogo ya kuwapeleka watoto wenu sekondari, ni dhahiri kuwa hamtakosa sare za shule, madaftari na ada, alisema afisa eli...

24,906 CANDIDATES SITS FOR PSLE EXAMS IN IRINGA

While the National Examination Council Tanzania (Necta), officially announcing the start of the Primary School Leaving Examination (PSLE), tomorrow, September 6 this year, across the country, the call was given to parents not to be relaxed but to initiate children's preparations later. The call is provided by Iringa Regional Education Officer (REO) Mr. Majuto Salehe Njanga while talking to the Citizen in a special interview today. Mr. Njanga called on parents that this is not time sit back and forgets the results will announced later and shocking at last days the child has been selected to go to secondary school while you have not been preparing. "From now on parents and guardians, be careful to keep your savings carefully so that your children will be selected for further education, so do not see the weight of paying for secondary education," said Mr. Njanga. Please my colleagues, if you start investing a small amount of savings to your secondary chil...