Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kushirikiana na wadau wa haki za watoto kutunga sheria kali dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyochangia watoto kushindwa kutimiza ndoto zao. Wakizungumza jana wakati wa semina wa mabaraza ya watoto ngazi ya kata wanafunzi hao wanasema vitendo vya ukatili vimekuwa vikiongezeka kila siku kwa jamii inayo wazunguka kutokana na kutokuwapo kwa sheria kali dhidi yao huku wazazi wakionekana kushindwa kutimiza haki za watoto. Malezi mabaya ya familia yanachangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa vitendo viovu ikiwamo ubakaji na ulawiti hivyo Wazazi ,walezi na jamii kwa ujumla wanayonafasi kubwa ya kuijenga jamii yenye maadili dhidi ya vitendo viovu. Jumla ya watoto 140 kutoka kata za Bumilinyinga, Idunda na Ihowanza walishirika semina ya baraza la watoto ngazi ya kata kuhusu ukatili wa kijinsia iliyoandaliwa na...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.