Skip to main content

Posts

Showing posts from August 3, 2015

Illegal immigrants face eviction without court order under plans to discourage migrants

Landlords who fail to check tenants’ immigration status face five-year jail terms as part of government crackdown to reduce UK’s appeal as a migrant destination   Asylum seekers at the Refugee Council in Brixton. The council expressed ‘grave concerns’ at Home Office plans to remove automatic benefits from families who do not win asylum. Photograph: David Levene for the Guardian Nicholas Watt Chief political correspondent Immigrants living in Britain illegally will face abrupt eviction from rental properties under new laws designed to make Britain a tougher place to live in, the government will announce as it redoubles its response to the Calais migrant crisis. In a dramatic illustration of the warning directed at migrants, by the home secretary, Theresa May , that Britain’s “streets are not paved with gold”, the government will change the law to allow landlords to evict such immigrants without a court order.

WAKRISTO WA ITALIA WAWEZESHA ZAHANATI YA KISASA VIKAWE

Mkuu wa Masista Waabuduo Damu ya Kristo, Euprasia Julius akimtambulisha mgeni rasmi na meza kuu kwa wageni waalikwa na wanakijiji wa Vikawe (hawapo pichani) katika hafla ya ufunguzi wa Zahanati ya Da.Ma Africa Maria De Mathias (MDM) Vikawe, Kibaha. Na Mwandishi wetu, Kibaha MGANGA Mkuu wa halmashauri ya Mji Kibaha, Dk. Happniness Ndosi amepongeza shirika la masisita wa Waabuduo Damu ya Kristo kwa kufanikisha ujenzi wa zahanati ya kisasa katika kijiji cha Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani. Mganga huyo ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa zahanati hiyo,pamoja na kuwapongeza amesema serikali itaendelea kushirikiana na mashirika yote kwa lengo la kuwezesha kila kijiji kiwe na zahanati na kila kata kituo na kila wilaya kuwa na hospitali.

FILAMU YA AISHA YAZINDULIWA KWA KISHINDO WILAYANI PANGANI

Filamu iliyopewa jina la AISHA imezunduliwa rasmi siku ijumaa ya tarehe 31/7/2015 wilayani Pangani chini ya shirika lisilo la kiserikali la UZIKWASA. Aisha ni filamu ya tatu katika mfululizo wa filamu za UZIKWASA zikiangazia aina mbali mbali za unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto wa kike. Filamu hizi ni ni sehemu mojawapo tu ya njia za mawasiliano katika kampeni shirikishi-jamii ya mabadiliko ya tabia inayofahamika kama 'BANJA BASI'!, Pangani, Tanga.

MMLIKI WA ST. MATHEW AIHAMISHA MAHAKAMA KWA GHARAMA ZAKE

Na Mwandishi Wetu, Singida MDAI katika Kesi ya madai ya talaka Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya St. Mathew, Thadei Mtembei amehoji uhalali wa mahakama kufikia kukagua mali zake siku ya Jumamosi bila kupitia mahakama yoyote hapa Singida. Kesi hiyo ambayo inasikilizwa mahakama ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam, juzi (Jumamosi) ililazimika kuhamia mkoani Singida baada ya mdaiwa (Thadei Mtembei) kuitaka mahakama kuhamia mkoani Singida kwa gharama zake ili kuhakiki nyumba ambazo alidai alimjengea Mwangu. Mtembei katika hoja yake ya kuitaka mahakama kuhamia Singida alisema yuko tayari kulipa gharama zote ikiwemo nauli na posho. Hakimu anayesikiliza kesi hiyo Rajab Tamaambele, na wakili wa Mtembei ambaye ni mtoto wa mke mkubwa wa Mtembei (Peter Mtembei), karani na kesi na mtumishi wa mahakama ni miongoni mwa watu waliofika kwa ajili ya ukaguzi na uhakiki wa nyumba hizo. Hata hivyo hakukuwepo na wazee wa baraza jmbo ambalo mwangu pia alilil...