Skip to main content

Posts

Showing posts from January 2, 2016

WANANCHI WASHIRIKI UKARABATI WA BARABARA YA MUTURU HALMASHAURI YA MJI WA TARIME

Baadhi ya Wananchi wa Mtaa wa Chira Kata ya Kenyamanyoro katika Halmashauri ya Mji wa Tarime Mkoani Mara wakishiriki zoezi la ukarabati mdogo wa barabara ya Muturu (Remaghinga) iliyopo Mtaa wa Buguti Kata ya Rebu ambayo inayotegemewa na Wakazi Kata zote mbili za Kenyamanyori na Rebu hatika halmashauri hiyo. Zoezi hilo limefanyika leo Januari 02,2016 ambapo wananchi hao walikuwa wakifanya ukarabati wa kujaza moramu katika maeneo yaliyochimbika kutokana na maji ya mvua pamoja na kuchimba mitaro kwa ajili ya kupitisha maji wakati wa mvua. "Hii barabara ni kama imesahaulika na Halmashauri ingawaje ni mhimu sana kwani tegemeo kwa wananchi pamoja na shughuli mbalimbali kama vile ujenzi kwa kuwa hapo ng'ambo kuna shughuli za uchimbaji wa mawe hivyo malori huwa yanapita hapa kwa ajili ya kwenda kufuata mawe hayo kwa ajili ya ujenzi katika maeneo mbalimbali ya mji". Alibainisha mmoja wa wananchi hao na kuongeza kuwa imekuwa kawaida yao kufanya ukarabati wa ai...

TADB BANK DISBURSES LOANS TO 857 FARMERS IN IRINGA

MUFINDI: IRINGA Regional Commissioner (RC), Amina Masenza said access to credit for agricultural development in the country is a big challenge, because most loans from financial institutions leaned on the business side of products including large interest on agricultural loans. RC said this yesterday during the signing ceremony of the agreement on bank loan between Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) and small scale farmers in Iringa Region held at Igomaa village in Sadani Ward, Mufindi District. The Agricultural Development Bank of Tanzania (TADB) officially begun providing credit to small farmers who are in groups, and to begin with the eight farmers groups in Iringa Region were given a loan of more than one billion shillings. The bank on Wednesday came to Igomaa Village in Sadani Ward of Mufindi District, Iringa Region and disbursed agricultural loan worth 1.006bn/- to eight out of 89 farmers’ cooperative unions of small-scale farmers fr...