Skip to main content

Posts

Showing posts from April 24, 2014

MAMIA YA WAKAZI WA IRINGA NA VIONGOZI MBALIMBALI WAMZIKA DC CHANG'A

  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) akiteta jambo na mmoja wa waombolezaji wa msiba wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Moshi Chang'a wakati wa maziko katika makaburi ya Mtwivilla yaliopo Kihesa Manispaa ya Iringa mkoani Iringa leo. Mwandishi wa habari wa www.fridaysimbaya.blog.com, Friday Simbaya (kushoto) akipata taarifa kutoka kwa mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, marehemu Moshi Chang'a, Hamis Moshi Chang'a wakati wa maziko katika makaburi ya Mtwivilla yaliopo Kihesa Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa leo. (Picha na Sagine Edward Majura) Mtoto mwingine wa marehemu Moshi Chang'a, Shabaan Mosji akifarijiwa na baadhi ya waombolezaji nyumbani kwa baba yake Kihesa kwa Mwachang'a baada ya maziko leo. Mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Moshi Chang'a, Hamis Moshi Chang'a (katikati)...

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI