Skip to main content

Posts

Showing posts from January 10, 2015

WANAUME ZAIDI LAKI MOJA NA TISINI KUTAHIRIWA MKOANI IRINGA

Mkoa wa Iringa una lengo la kutahiri wanaume 191,999 mwaka huu  na hadi kufikia Septemba mwaka jana jumla ya wanaume 147,620 sawa na asilimia 76.9 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 wametahiriwa.