Skip to main content

Posts

Showing posts from July 26, 2016

GEITA GOLD MINING YAKUKUSANYA PESA KWA AJILI KAMPUNI YA UKIMWI

Mkuu wa wilaya ya Moshi Kipi Warioba akiongozana na kundi la wapanda mlima Kilimanjaro kutoka kampuni ya Mgodi ya Geita Gold Mining (GGM) waliopanda kwa lengo la kuchangisha fedha za kusaidia taasisi mbalimbali zinazo shughulika na mapambano dhidi ya Ukimwi. Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mining (GGM) ,Simon Shayo akizungumza wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya kundi la wapanda mlima wakiwemo wafanyakazi wa mgodi huo waliopanda kwa leongo la kuchangisha fedha za kusaidia taasisi mbalimbali zinazo shughulika na mapambano dhidi ya Ukimwi. Kiongozi wa kundi la wafanyakazi wa kampuuni ya Mgodi ya Geita Gold Mining ,Kelvin Yasiwa akizungumza kwa niaba ya wenzake mara baada ya kuwasili wakitokea katika kilele cha Uhuru ,Mlima Kilimanjaro.  Balozi wa Tume ya kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS) Msanii Mrisho Mpoto akizungumza mara baada ya kurejea salama kutoka katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.  Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Kipi Warioba aki...

MTOTO GERALD DAVID BWANAMGANGA APOTEA

Mtoto GERALD DAVID BWANAMGANGA anayetafutwa na wazazi wake.  Mtoto GERALD DAVID BWANAMGANGA ambaye anatafutwa na wazazi wake, ana umri wa miaka MIWILI NA NUSU. Amepotea jumapili tarehe 25/7/2016 mida ya saa 09 (tisa) mchana huku juhudi kubwa ya kumtafuta inayofanywa na wazazi, ndugu zake zikiwa bado hazijafanikiwa. Mara ya mwisho mtoto GERALD DAVID BWANAMGANGA alikuwa akicheza na wenzake KANISANI akiwa amevaa T-SHIRT NYEKUNDU na SURUALI YA KAKI maeneo ya BABANA, GONGO LA MBOTO jijini DAR ES SALAAM.  Tunaomba Watu, Mtu yeyote atakayeweza kumuona, basi anaweza kumfikisha Kituo Cha Polisi kilicho karibu nae. Au unaweza kuwasiliana na wazazi wa mtoto kwa namba 0713 040 615 ama 0712 185 226. Pia unaweza kupiga simu namba 0675 306 990.