Skip to main content

Posts

Showing posts from August 23, 2018

TANZANIA YAPONGEZWA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA UDAMAVU NA UTAPIAMLO

IRINGA: Kaimu Balozi wa Marekani Dk Inmi Patterson amepongeza juhudi zinazofanywa na serikali ya Tanzania katika kushughulikia masuala ya udamavu na utapiamlo vinavyoathari wananchi wengi nchini .  Balozi huyo alisema hayo jana wakati wa uzinduzi wa ghala jipya la Mama Seki sambamba na mashine ya kusaga unga wa mahindi wa lishe bora iliyotolewa kwa msaada wa serikali ya marekani kupitia mradi wa NAFAKA, ikiwa sehemu ya ziara yako mkoani Iringa.  Dk Patterson alisema kuwa Tanzania ina aslimia 34 ya wakazi wake wanaoishi na udumavu na utapiamlo huku wilaya za Iringa, Njombe na Songwe zote zikiwa na viwango vya utapiamlo kwa zaidi ya asilimia 40.  Alisema kuwa juhudi zaidi zinahitajika katika kuboresha masuala ya elimu bora na lishe bora ili kuweza kufikia malengo yaliyokusudiwa na serikali ya kupunguza matatizo ya udumavu na utapiamlo nchini.  Alisema kuwa ukosefu wa lishe unamfanya mtu asiweze kufikia malengo yake kwa vile udumavu huath...

US HAILS TANZANIA FOR ADDRESSING STUNTING AND UNDERNOURISHMENT

By Friday Simbaya, Iringa  The Chargé d'Affaires of US Embassy in Tanzania Dr. Inmi Patterson has expressed thanks for the efforts made by the Tanzanian government in addressing the issues of stunting and malnutrition that affect most citizens in the country.  She made the statement said yesterday during the inauguration of ‘Mama Seki’ milling machine that fortify maize flour in Iringa, with the support of the American government through the NAFAKA project during her visit to Iringa.  Dr. Patterson said that Tanzania has 37 percent of people with stunting and undernourishment, while Iringa, Njombe and Songwe districts all have malnutrition rates for more than 40 percent.  She said more efforts were needed to improve education and nutrition issues in order to meet the government's aims to alleviate stunting and malnutrition in the country.  She said that lack of nutrition makes one unable to achieve his goals because stunting gr...