Skip to main content

Posts

Showing posts from November 24, 2013

MSIMU WA MASUKU NA MAEMBE

  Wakazi wa mtaa wa Lipinyapinya katika Kijiji cha Peramiho B, wilayani Songea (V), mkoani Ruvuma ambao pia ni wanafunzi wa Shule ya Msingi Mapinduzi wanaosoma darasa la tano na nne wakifukua matundapori aina ya masuku baada ya kuyavundika kwa siku 3 ardhini tayari kwa kula jana mchana. (Picha na Friday Simbaya)     Kushoto ni walimu  waagwa wa  Shule ya Msingi Peramiho wilayani Songea vijijini,   mkoani Ruvuma, Bernadetha Mhonyo,Fadina Kumbuli, Malaika Millinga na Isidora Ndunguru wakifurahia burudani   ya muziki wakati wa hafla fupi   ya kuwaaga walimu wanne (4) waliostaafu na kubabilisha vituo vyao vya   kazi iliofanyika shuleni hapo jana. Walimu wanaostaafu ni wawili na wanaobadilisha vituo vya kazi pia ni wawili (picha na Friday Simbaya)