Skip to main content

Posts

Showing posts from August 20, 2017

DKT ANGELINE LUTAMBI AZINDUA “IKUNGI ELIMU CUP 2017” AMFAGILIA DC MTATURU KWA UBUNIFU

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt Angeline Lutambi akihutubia mamia ya wananchi wa Wilaya ya Ikungi waliojitokeza katika hafla ya uzinduzi wa Mashindano ya Mpira wa miguu ya “IKUNGI ELIMU CUP 2017” Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt Angeline Lutambi akihutubia mamia ya wananchi wa Wilaya ya Ikungi waliojitokeza katika hafla ya uzinduzi wa Mashindano ya Mpira wa miguu ya “IKUNGI ELIMU CUP 2017” Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akisoma taarifa ya “IKUNGI ELIMU CUP 2017” mbele ya Mgeni rasmi ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt Angeline Lutambi wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mpira wa Miguu. Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akibeba tofali lililofyatuliwa na Mgeni rasmi ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt Angeline Lutambi wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mpira wa Miguu ya “IKUNGI ELIMU CUP 2017” Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Singida Ndg Jimson Mhagama aki...

VIJANA ZAIDI YA 60 WAMLALAMIKIA MUWEKEZAJI KWA KUWARUDHA FEDHA ZAO

wamama wa kijiji cha Sambaru wakiendelea kutwanga mawe kwa ajili ya kuweka tayari kwa kupatikana madini ya ya zahabu baadhi ya vijana wa kijiji cha sambaru  Na Woinde Shizza,Singida  Zaidi ya vijana 60 wa kijiji cha Sambaru kata ya Ikungi wilayani Igungi mkoani Singinda wamemlalamikia mwekezaji wa kampuni ya Sambaru Gold Mining kwa kitendo cha kuwarusha fedha za malipo ya kazi walikuwa wakimfanyia mgodini kwake.  Wakiongea na waandishi wa habari kijijini hapo baadhi ya vijana hao walisema kuwa wamefanya kazi katika kampuni hiyo kwa kipindi cha mda mrefu lakini muwekezaji huyo ajawalipa ela zao na badala yake amewafukuza kazini hapo bila kuwalipa malipo yoyote . Mmoja wa vijana hao aliyejitambulisha kwa jina la Saidi Hassan alisema kuwa walishapeleka malalamiko yao kwa viongozi wa kijiji lakini hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa hivyo wameiomba serikali iwasaidie ili wapate mafao yao kwani fedha hizo walikuwa wanazitegemea ...

STUDIES SAY, TANZANIA IS LOSING FOUR HUNDRED THOUSAND OF FORESTS PER YEAR

Some of the participants following a stakeholders meeting with a debate about climate change and its impact on natural resource management in the country organized by Lawyers’ Environmental Action Team (LEAT) in the Iringa Region recently. (Photo by Friday Simbaya) THE Deputy Permanent Secretary in the Vice President’s Office Union Affairs and Environment Eng. Ngosi Mwihava said studies indicate that the country is currently losing approximately four hundred thousand of forests per year. He made the statement during the opening session of debate on climate change and its impact on natural resource management in the country held in Iringa Region organized by LEAT recently.  Mwihava said in 2030 it is estimated that the country will lose approximately two million hectares (2.8 million) of natural forests, equivalent to the size of Rwanda. And this is equivalent to 8.5 percent country's forests according to 2009 figures.  Based on the...

MRADI WA CHANGIA UONGEZEKO LA MAPATO KIJIJI CHA ITAGUTWA

Mwenyekiti wa Kijiji cha Itagutwa wilayani Iringa, mkoani Iringa Isaya Lubava amesema usimamizi wa maliasili katika kijiji chake umeimarika kwa kiasi kikubwa, hali inayochangiwa na ongozeko la uelewa kwa wananchi kuhusu wajibu wao katika usimamizi wa maliasili. Alisema hayo jana wakati wa mkutano wa marejeo na kuhitimisha mradi wa Ushiriki wa Wananchi katika Usimamizi wa Maliasili unaotekelezwa na Timu Wanansheria watetezi wa mazingira kwa vitendo (LEAT) kwa ufadhili wa shirika la Maenedeleo la kimataifa la Marekani (USAID) katika Wilaya za Iringa na Mufindi mkoani Iringa. Lubava alisema kuwa tangu kwa utekeklezaji wa mradi huo kijiji kimeweza kuongeza ukusanyaji mapato kutokana na kuunda kwa mpango wa usimamizi wa hifadhi ya kijiji. “Tulibuni njia mbalimbali za usimamizi, yaani ulinzi wa hifadhi na mojawapo ni ufugaji nyuki, ” alisema. Mradi huyo ulianza kutekelezwa Novemba mwaka 2013 na utafika ukomo mwezi Novemba mwaka huu 2017. Alisema kuwa kijiji ...