Skip to main content

Posts

Showing posts from June 2, 2015

TUME YA USHINDANI: VITA DHIDI YA BIDHAA BANDIA NI VITA DHIDI YA WATU WENYE UWEZO KIFEDHA

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu, Tume ya Ushindani (FCC), Allan Mlulla akitoka hotuba yake jana wakati semina ya kuelimisha wadau kuhusu  masuala ya ushindani, kumlinda mlaji na mapambano dhidi ya bidhaa  bandia.  Katibu Tawala Mkoa wa Iringa (RAS), Wamoja Ayubu akitoa hotuba wakati wa ufunguzi wa semina ya kuelimisha wadau kuhusu  masuala ya ushindani, kumlinda mlaji na mapambano dhidi ya bidhaa  bandia jana. Washiriki wa semina ya kuelimisha wadau kuhusu  masuala ya ushindani, kumlinda mlaji na mapambano dhidi ya bidhaa  bandia kwa kufuatilia kwa makini mada zillizokuwa zinatolewa. (PICHA  NA FRIDAY SIMBAYA WA SIMBAYABLOG)  Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu, Tume ya Ushindani (FCC), Allan Mlulla amesema vita dhidi ya bidhaa bandia ni vita dhidiya watu wenye uwezo mkubwa wa kifedha, dhidi ya wahalifu ambao hawatakubali kirahisi kuachana na biashara hiyo. Mlulla alisema hayo jana wakati...