Katibu wa CWT Mkoa wa Ruvuma ambaye pia alikuwa ndiye Mratibu wa Mafunzo, Mwl. Luya Ngonyani akitoa mada wakati ya semina ya sera ya mafunzo na haki kwa viongozi wa CWT kutoka Kata Nne za Litisha, Maposeni, Peramiho na Lilambo wilayani Songea. Jumla ya washiriki wa semina hiyo ni 40. Semina hiyo ilifanyika leo Peramiho Shule ya Msingi, Songea Vijijini. Washiriki wa semina ya sera ya mafunzo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi CWT na wawezeshaji muda mfupi baada ya kumalizika kwa semina hiyo. walioketi kutoka kushoto kwenda kulia ni Mwl. Mwahija Luambano Mwakilishi wa Walimu Wanawake wilayani Songea, Mwl. Gervas Ngondo Mweka Hazina CWT, Mwl. Luya Ngonyani Katibu CWT Mkoa/ Mratibu wa Mafunzo, Mwl. Beno Mwenda Mwenyekiti CWT Wilaya na Mwl. Manyula M. Nkomolla Katibu CWT Songea Vijijini.
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.