Na Friday Simbaya, Songea Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi Tanzania (TUPSE) Taifa , Edson Eliya Kivelege amewataka waajiri nchini kuwalipa wafanyakazi mapunjo ya mishahara yanayotokana kupandishwa kwa kima cha chini cha mishahara na serikali mwaka jana kabla ya sheria haijakuchua mkondo wake. Alisema mapunjo hayo yanatokana na waajiri wengi wa makampuni ya walinzi binafasi kutolipa viwango vipya vya mishahara baada ya serikali kupitia bodi ya mishahara kutangaza kima cha chini kwa sekta zote mwezi wa saba mwaka 2013. Katibu huyo wa TUPSE alisema hayo wakati wa mahojiano maalum na NIPASHE alipofanya ziara yake katika Nyanda za Juu Kusini kwa lengo kukagua uhai wa chama pamoja na kufanya maandalizi ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa mwaka utakaofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Aidha, Kivelege alimteua Zacharia Godwin Mfilinge kuwa mwakilis...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.