Skip to main content

Posts

Showing posts from July 18, 2015

Mbunge Lembeli aondoka CCM

HUYU ameondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anasema, chama hicho kinanuka rushwa na kwamba yeye hawezi kugombea kwenye chama ambacho kimebeba wala rushwa. Ni James Lembeli, mbunge wa Kahama mkoani Shinyanga. Akizungumza na wanachama wa CCM, wilayani Kahama, Lembeli amesema, “…nimekuja kuwaeleza, kwamba sitagombea ubunge katika jimbo hili kupitia CCM.”

940 villagers of Ilalasimba receives CCRO

An Economic Growth Officer from  United States Agency for International Development (USAID) ,  Harold Carey, looking at smartphone used by  Trusted Intermediaries, who work alongside members of the village Land Adjudication Committee to map the boundaries of villagers’ land and enter demographic and other information about parcel holders at Ilalasimba Village in Iringa Rural District, Iringa Region yesterday. The intermediaries make certain that parcel holders (or their representatives) and the neighbors of parcel holders are present when mapping occurs. (Photo: Friday Simbaya) An Economic Growth Officer from  United States Agency for International Development (USAID) in Tanzania ,  Harold Carey posing a photo with one of traditional elders  during the delivering of  Certificates of Customary Rights of Occupancy (CCRO) to 940 villagers in Ilalasimba Village in Iringa Rural District, Iringa Region yesterday.  (Photo: Friday Simbaya) ...