Skip to main content

Posts

Showing posts from April 22, 2026

TFS YASISITIZA MAADILI KAZINI, YATAKA UZINGATIAJI WA MATUMIZI SAHIHI YA MIFUMO

Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi TFS na Meneja wa Rasilimali Watu, Bahati Mtomaye alisema kuwa matumizi sahihi ya Mifugo pamoja na kuzingatia maadili ni nguzo muhimu katika kuboresha utendaji wa taasisi na kujenga imani kwa umma Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi TFS na Meneja wa Rasilimali Watu, Bahati Mtomaye alisema kuwa matumizi sahihi ya Mifugo pamoja na kuzingatia maadili ni nguzo muhimu katika kuboresha utendaji wa taasisi na kujenga imani kwa umma. Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya matumizi sahihi ya mifumo katika utendaji. Na Fredy Mgunda, Mufindi WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeanza kuonyesha msimamo mkali katika vita dhidi ya rushwa na ukiukwaji wa maadili kwa kuwataka watumishi wake kuzingatia kikamilifu nidhamu ya kazi na matumizi sahihi ya mifumo ya kiutumishi, hatua inayolenga kuongeza uwajibikaji na ufanisi katika utendaji. Msisitizo huo umetolewa katika siku ya pili ya semina ya mapambano dhidi ya rushwa na maadili kwa maafisa na askari wa Shamba la Miti Sao Hill,...

Land Health Compact Review Meeting in Iringa

  Deputy Country Representative of International Union for Conservation of Nature Tanzania, Anthony Mhagama, makes a presentation on the objectives of the workshop during the Land Health Compact Review Meeting in Iringa. The organisation, in collaboration with partners, is implementing the Sustainability and Inclusion Strategy for Growth Corridors in Africa (SUSTAIN-AFRICA) project.