Skip to main content

Posts

Showing posts from February 19, 2018

WILAYA YA KILOLO YATENGA HEKTA 72.3 KWA AJILI YA UWEKEZAJI

Kampeni ya uanzishaji wa viwanda kote wilayani Kilolo Mkoani Iringa imezinduliwa jana huku mwito zaidi ukielekezwa kwa umma kutoa ushirikiano kwa timu ya wataalamu katika kutekeleza mradi wa viwanda.  Mkuu wa wilaya ya Kilolo Asia Abdalla alisema eneo lenye ukibwa wa hekta 72.3 limetengwa kwa ajili ya viwanda huku akiwataka wananchi kuchangamkia fursa hiyo.  Kampeni ya uanzishaji wa viwanda kote wilayani Kilolo Mkoani Iringa imezinduliwa huku mwito zaidi ukitolewa kwa wananchi kujiunga kwenye vikundi kujisajili na kutoa ushirikiano kwa timu ya wataalamu itakayochunga mwenendo wa viwanda vidogo.  Abdalla alisema eneo lenye ukibwa wa hekta 72.3 limetengwa kwa ajili ya viwanda huku akiwataka wananchi kuchangamkia fursa zikiwamo za uchakataji wa mazao ya misitu na mashambani.  Hadi sasa wilaya ya Kilolo inakadiliwa kuwa na viwanda 22 , Hatua hii ya uzinduzi inajiri baada ya  Mkoa wa Iringa kuzindua mwishoni mwa mwaka uliopita kwa min...