Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo September 09 2016 amemteua Ado Steven Mapunda kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara. Ado Steven Mapunda anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Benedict Richard Ole Kuyan ambaye amestaafu. Aidha Rais Magufuli amemteua Tixon Tuliangine Nzunda kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa. Tixon Tuliangine Nzunda anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Symthies Emmanuel Pangisa ambaye amestaafu. Tarehe ya kuapishwa kwa Makatibu Tawala wa Mikoa walioteuliwa itatangazwa baadaye. VYAMA VYA WAFANYAKAZI NCHINI WAIBUKA NA KUTISHIA MGOMO NA KAROLI VINSENT VYAMA vya wafanyakazi nchini pamoja na Asasi za kiraia nchini ambayo ipo chini ya mwamvuli wa mtandao wa watetezi wa Haki za Bindamu nchini (THRDC) Wamelitaka bunge la Jamhuri wa muungano wa Tanzania kutopitisha mswaada wa mabadiliko ya sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii unaokwenda kuzuia fao la kujitoa, Hivyo basi wamesema endapo wabunge wakikaidi na...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.