Kutoka kushoto kwenda kulia ni Mmliki wa Blog hii Friday Simbaya, Anold na Mpigapicha wa Rais Fred Maro muda mfupi kabla ya kuanza kwa Misa Takatifu ya kuwekwa na kusimika Askofu Mpya wa Jimbo la Mbinga, John Ndimbo katika Kanisa la Mt. kiliani. Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na maaskofu baada ya kumalizika kwa Misa ya kusimika Askofu wa Mbinga. Kulia kwake ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Kardinali Polycarp Pengo na kushoto kwake ni Askofu Mteule John Chrysostom Ndimbo. Rais Kikwete wanne kutoka kulia akiwa Kanisa la Mt. Kiliani la Mbinga Jumapili wakati ya sherehe ya kuwekwa na kusimikwa Askofu wa Mbinga. Waamini mbalimbali wakifuatilia Misa Takatifu ya kuwekwa wakfu na kusimika Askofu wa Mbinga katika Kanisa la Mt. Kiliani lililojaa pomoli hadi waamini wengine walikaa nje wakifuatilia misa kupitia Tv. Waamini wakifuatilia Misa katika viwanja vya Emmanuel Square nje ya Kanisa kutokana na kukosa nafasi nd...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.