Skip to main content

Posts

Showing posts from September 30, 2015

MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA ZAIDI YA MARA NNE AKITOKEA TANGA KUELEKA DAR

Msafara wa Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ukichanja mbuga kutokea jijini Tanga kuelekea jijini Dar es salaam mapema asubuhi juzi. Sehemu ya wananchi wa Mji wa Muheza Mkoani Tanga, wakiwa wamefunga barabara, wakimtaka Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, azungumze nao leo Septemba 29, 2015, wakati akiwa safarini kwa kuelekea jijini Dar es salaam kwa njia ya barabara akitokea Mkoani Tanga. Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Muheza Mkoani Tanga, waliofunga barabara ili azungumze nao leo Septemba 29, 2015, wakati akiwa safarini kwa kuelekea Dar es salaam kwa njia ya barabara akitokea Mkoani Tanga. PICHA NA OTHMAN MICHUZI . Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edwa...

MAGUFULI ATINGISHA DODOMA MJINI MKUTANO WAKE WAFURIKA KULIKO KAWAIDA

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa jamhuri tayari kuhutubia wakazi wa Dodoma mjini. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Dodoma mjini waliofurika kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini hapo. Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba akielezea umuhimu wa amani katika Taifa letu na kusema kuna umuhimu wananchi kujifunza historia kabla ya kuwania nafasi mbali mbali za uongozi kwani itasaidia kutunza na kuilinda misingi iliyowekwa na waasisi wa Taifa hili. Warioba alimpongeza sana mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa kuhubiri amani katika kila mkutano wake wa kampeni kitu ambacho kinasaidia sana kuwakumbusha wananchi wa Tanzania kudumisha na kuitunza amani kati yetu. Mgombea Ubunge jimbo la Dodoma mjini akimuelezea Mgombea wa Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli changamoto mbali mbali za Dodoma mjini kwenye mkutano wa ...

UBA’S ODUOZA WINS CEO OF THE YEAR AWARD AT INVESTMENT SUMMIT IN NEW YORK

Group Managing Director and CEO, UBA Plc, Mr. Phillips Oduoza . Group Managing Director and CEO, UBA Plc, Mr. Phillips Oduoza has emerged the 2015 Ai Socially Responsible Investment (SRI) 30 CEO of the year at this year's 8th annual Ai CEO Investment Summit. This is the second time he is winning the award after winning it first in 2013. He was named the winner from a long shortlist that included Nassef Sawiris, CEO, Orascom Construction Company, Sifiso Dabengwa, CEO, MTN Group, SA, Guillaume Roux, CEO, Lafarge Africa, Segun Agbaje, CEO, GT Bank, Graham Clark, GMD, Dangote Sugar and Ben Kruger/Sim Tshabalala, Co-CEOs, Standard Bank. The event took place in New York at the sidelines of the UN General Assembly. Africa investor (Ai), is a leading international investment and communications group based in South Africa. Every year it organises the institutional investment summit as a platform for public and private sector leaders in Africa to dialogue with global coun...