Skip to main content

Posts

Showing posts from February 12, 2016

WANAWAKE MWANZA WATAKIWA KUTOBWETEKA ILI KUACHANA NA UTEGEMEZI KATIKA JAMII

Kulia ni Bi.Vileth Muhamusi ambae ni mmoja wa Wajasiriamali Jijini Mwanza akizungumza na Mwandishi wa taarifa hii, George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media Group (BMG). Wanawake Mkoani Mwanza wametakiwa kutobweteka  na kukaa majumbani bila kujishughulisha na shughuli za uzalishaji mali, kwa  kuwa hatua hiyo inawafanya kuwa tegemezi katika jamii. Bi.Vileth Muhamusi ambae ni mmoja wa w ajasiriamali maarufu Jijini Mwanza, anaejishughulisha na biashara ya bustani  hususan kuotesha miche mbalimbali ikiwemo miche ya mbao, matunda pamoja na  kimvuli, aliyasema hayo jana wakati akizungumzia tatizo la ukosefu wa ajira  kwa akina mama ambalo hivi sasa limegeuka janga kwa malezi ya watoto kutokana  na baadhi yao kuwatumia watoto wao katika shughuli za kuomba omba mitaani ili kupata  fedha za kujikimu kimaisha. Bi.Muhamusi anaepatikana katika  bustani zilizopo pembezoni mwa Ziwa Victoria katika barabara ya Makongoro  Jijini Mwanza, ali...

Syria: cessation of hostilities 'within a week' agreed at Munich talks – live

<!-- __ __ _ _ _ \ \ / /__ __ _ _ __ ___ | |__ (_)_ __(_)_ __ __ _ \ \ /\ / / _ \ / _` | '__/ _ \ | '_ \| | '__| | '_ \ / _` | \ V V / __/ | (_| | | | __/ | | | | | | | | | | | (_| | \_/\_/ \___| \__,_|_| \___| |_| |_|_|_| |_|_| |_|\__, | |___/ Ever thought about joining us? http://developers.theguardian.com/join-the-team.html Syria: cessation of hostilities 'within a week' agreed at Munich talks – live | World news | The Guardian Close Skip to main content sign in Saved for later Comment activity Edit profile Email preferences Change password Sign out subscribe search dating <!--[if (gt IE 8)&(IEMobile)]><!--> <!--<![endif] more ...