Skip to main content

Posts

Showing posts from March 21, 2018

STELLA MANYANYA ATEMBELEA KIWANDA CHA ROCKS WILAYANI KILOLO

baadhi ya wananchi wa kijiji cha iyayi katika ya image wilayani kilolo, mkoani iringa wakimsikiliza naibu waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji mhandisi stella manyanya (hayupo pichani). kijin hicho kipo karibu na kiwanda cha maji cha imgae.   Naibu wa waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji Eng. Stella Manyanya akiongea na wafanyabiashara wa mkoa wa Iringa leo katika mwendelezo wa ziara yake ya kukagua viwanda nchini.