Skip to main content

Posts

Showing posts from November 1, 2015

Daniel Kilonge anasimulia alivyochomwa Kisu..

Mwandishi na mpiga picha wa Mjengwablog/Kwanza Jamii, Daniel Kilonge (mwenye mzula) anasimulia alivyochomwa kisua kwa wana familia ya Wanahabari wa Iringa jana asubuhi.  Mwandishi huyo alichomwa kisu kichwani na mtu asiyejulikana ndani ya Daladala. Kulikuwa na mabishano ya kisiasa hapo tarehe 27 Oktoba mwaka huu. Daniel alitulia kwenye kiti akizungumza na abiria mwenzake. Alikuwa njiani akitokea Tumaini kuja katikati ya mji kutekeleza majukumu ya kazi. Maggid

Turkish president's rule hangs in balance as country goes to polls

  A supporter of Turkey’s main opposition Republican People’s Party (CHP) at a rally in Istanbul on Saturday. Photograph: Ozan Kose/AFP/Getty Images Kareem Shaheen and Safak Timur in Istanbul  Turkish voters are going to the polls in parliamentary elections that could end more than a decade of single-party rule by the Justice and Development party (AKP). Voting stations around the country opened on Sunday morning in the snap elections, which were called by the Turkish president, Recep Tayyip Erdoğan, after negotiations to form a coalition with the opposition following an inconclusive vote in June fell apart. Turkey election 2015: are you voting? Now the divisive figure of Erdoğan, accused by critics of authoritarianism, repression of his opponents and suppression of press freedom , is front and centre in polls that could put an end to what his critics say are ambitions to consolidate the power of his office and transform Turkey from a parliamentary system into a...

Matokeo ya mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015

    Katibu Mtendaji wa NECTA Dk. Charles Msonde Baraza la Mitihani Tanzania - NECTA kimetangaza matokeo ya mitihani ya darasa la saba iliyofanyika September 9 na 10 mwaka huu ambapo mikoa ya kanda ya ziwa imefanya vizuri ikilinganishwa na mikoa mingine nchini. Akitangaza matokeo hayo jijini DSM, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dk. Charles Msonde amesema jumla ya watahiniwa 51,8034 kati ya 76,3602 wamefaulu sawa na asilimia 67.84, ambapo kati yao wasichana wamefaulu kwa asilimia 64.60 na wavulana asilimia 71.58 huku kiwango hicho cha kikiongezeka kwa asilimia 10.85 ukilinganisha na ufaulu wa mwaka jana wa asilimia 56.99. Dk. Monde amezitaja shule zilifanikiwa kuingia kumi bora kitaifa mwaka huu ni pamoja na shule ya Waja Springs ya Geita iliyoshika nafasi ya kwanza ikifuatiwa na Enyamai ya Mara na Twibhoki pia ya Mara katika nafasi ya tatu huku zikifuatiwa na shule nyingine 7 zote kutoka mikoa ya kanda ya ziwa. Shule ya Mwashigini ya mkoani shinyanga imetajwa kushika nafa...