Skip to main content

Posts

Showing posts from September 12, 2015

MWANZO BORA WAANZISHA PROGRAM YA LISHE MKOANI IRINGA

Na Friday Simbaya, Iringa IMEELEZWA kuwa uelewa mdogo wa matumizi sahihi ya chakula pamoja na kutokula chakula mchanganyiko na kutumia nafaka kutengenezea pombe za kienyeji, ndio sababu za kuwepo kwa tatizo la utapiamlo katika Mkoa wa Iringa. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza wakati wa kufungua mkutano wa kamati za lishe za halmashauri na mkoa kuhusu masuala ya lishe ya mama na mtoto jana. Mkutano huo wa uhamasishaji masuala ya lishe kwa watendaji ngazi ya mkoa na halmashauri uliaandaliwa na Mradi wa Lishe wa Mwanzo Bora (Mwanzo Bora Nutrition Program) kwa ufadhili wa serikali ya Marekani kupitia Shirika lake la maendeleo ya kimataifa (USAID). Mkuu wa mkoa huyo alisema kuwa matatizo mbalimbali ya utapiamlo yanaendelea kudumaza, kulemaza na hata kuua watoto na wanawake hasa wajawazito na wanaoyonyesha. Pia jamii kwa ujumla imekuwa ikiathirika kwa njia moja au nyingine kwa kuwepo kwa utapiamlo.  Alisema kuwa tataizo la lishe duni ...

STUNTING IN IRINGA REGION IS A PROBLEM

By Friday Simbaya, Iringa IRINGA Regional Commissioner (RC), Amina Masenza said little understanding of the appropriate use of food as well as eating mixed food and using of cereals brewing beer, is the reason for the existence of the problem of malnutrition in region. RC issued the statement while opening a meeting of the regional and council nutrition committees on issues of maternal and child nutrition yesterday. The meeting for nutrition issues for administrators at regional level was organized by The Mwanzo Bora Nutrition Program (MBNP) is funded by USAID through the Feed the Future initiative. MBNP works in three regions in Tanzania and three districts in Zanzibar, helping communities reduce childhood stunting and maternal anemia. She said that the various problems of malnutrition include stunting, disability and even kill children and women especially pregnant and lactating women. She said that the community in general has been liable in one w...