Skip to main content

Posts

Showing posts from January 29, 2017

CHUO CHA AFRICA GRADUATE UNIVERSITY CHAWATUNUKU PhD WANAOFANYA KAZI ZA JAMII NCHINI

Mkuu wa Chuo cha Africa Graduate University cha jijini Dar es Salaam, Profesa Stiven Nzowa, akiongoza mahafali ya kuwatunuku Tuzo ya Heshima ya Udaktari (PhD) wanaharakati na watumishi wa mungu nane pamoja na wengine kadhaa waliotunukiwa Tuzo ya Heshima ya Shahada ya Uzamili HDD Dar es Salaam jana.  Mwanaharakati wa Haki za Watoto ambaye ni Rais wa Tanzania Music Foundation Dk.Donald Kisanga aliyetunukiwa PhD ya masuala ya Usimamizi na Uongozi wa Biashara akiwa kwenye mahafali ya 30 ya Chuo cha Africa Graduate University yaliyofanyika Dar es Salaam jana. Askofu Dk. Godfrey Mallasy wa Kanisa la Tanzania Fellowship of Churches, akielezea kazi mbalimbali alizofanya kabla ya kutunukiwa tuzo hiyo. Waliotunukiwa tuzo wakiwa na furaha katika picha ya pamoja. Wageni waalikwa wakiwa na Mama Askofu Dk.Godfrey Mallasy, Debora Mallasy (mwenye kofia), alikuwepo kushuhudia mume wake akitunukiwa tuzo hiyo. Meneja Programu na msherehe...

WATANZANIA WAOMBWA KUMUUNGA MKONO RAIS DK.JOHN MAGUFULI

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, John Shibuda (katikati), akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa kuuaga mwaka wa 2016 na kuukaribisha mwaka 2017 Dar es Salaam jana. Kulia ni Msajili Msaidizi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ADA na Waziri wa Nchi asiye na Wizara Maalum, Zanzibar. Mkutano ukiendelea. Waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo. Mwanahabari Suleiman Msuya akiuliza swali katika mkutano huo.  Na Dotto Mwaibale WATANZANIA wameombwa kumuunga mkono Rais Dk.John Magufuli kwa jitohada zake anazozifanya za kupongoza nchi. Mwito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Shibuda wakati akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa kuuaga mwaka wa 2016 na kuukaribisha mwaka 2017 Dar es Salaam jana. Alisema Serikali ya awamu ya tano imekuwa ikifanyakazi kubwa ya kudhibiti mirija ya unyonyaj...

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LATOA WITO KWA WANANCHI KUTOA USHIRIKIANO

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto mkoani Iringa Kennedy Komba akizungumza na Nipashe katika mahojiano maalum kuhusu mikakati iliyowekwa na jeshi hilo kupambana na majanga ya moto mkoani Iringa jana. (Picha na Friday Simbaya)  Na Friday Simbaya, Iringa  Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Iringa Mrakibu kennedy Komba ametoa wito kwa wananchi kutoa ushirikiano kwa askari wanaokuwepo kwenye eneo la tukio.  Alisema kuwa wananchi wanaokuwepo eneo la tukio huchelewa kutoa taarifa kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutokana na kuanza kwanza kuokoa mali zilizomo ndani ya Jengo linaloungua bila kutoa taarifa kwanza kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.  Mrakibu huyo alitoa kauli hiyo wakati wa mahojiano maalum na nipashe ofisini kwake jana na kuongeza kuwa wananchi wanabudi kutoa ushrikiano kwanza ili askari waweze kuokoa mali, hasa katika majanga ya moto.  Alisema kuwa ujenzi holela na uwekwaji wa vikwazo kama vile matairi chakavu, ...

US immigration: Federal judge stays deportations under Trump Muslim country travel ban

Iraqi immigrant Hameed Darweesh walks out of Terminal 4 at JFK with Congressman Jerrold Nadler (L) and Congresswoman Nydia Velazquez (R) after being released on Saturday. Photograph: Andrew Kelly/Reuters Raya Jalabi in Brooklyn and Alan Yuhas A federal judge has granted a stay on deportations for people who arrived in the US with valid visas but were detained on entry, following President Donald Trump’s executive order to halt travel from seven Muslim-majority countries. The stay is only a partial block to the broader executive order, with the judge stopping short of a broader ruling on its constitutionality. Nevertheless, it was an early, significant blow to the new administration. US airports on frontline as Donald Trump's travel ban causes chaos and protests Less than 24 hours after two Iraqi men were detained at John F Kennedy airport in New York on Saturday morning, Judge Ann Donnelly of the federal district court in Brooklyn ordered an...