Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimsikiliza mwanafunzi wa shule ya sekondari Kiwere akifanya vitu vyake kwa kushirikiana wanafunzi wenzake katika maabara ya kemstri alipotembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa shuleni. Pinda leo alikagua ujenzi wa maabara na kufungua nyumba nne za walimu wa shule hiyo zenye uwezo wa kubeba familia nane, halmashauri ya wilaya ya iringa katika jimbo la kalenga. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikagua mradi wa umwagiliaji pamoja na mashamba ya wakulima wa mpunga wa kijiji cha magozi, halmashauri ya wilaya iringa jimbo la isimani, akifuatana na mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza akifuatia na kaimu mkuu wa wilaya ya iringa Gerald Guninita ambaye pia ni DC wa kilolo. Waziri Mkuu Mizengo Pinda amewataka watanzania hasa wana chama wa chama cha mapinduzi ( CCM)kuwa na subira katika kumpata mwanachama atakayefaa kusimama kugombea urais kupitia CCM mwaka huu.
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.