KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua
kujiunga kwa pamoja na kuanzisha mradi wa kupika pombe aina ya Wanzuki kwa ajili ya kuwezeshana
wenyewe kwa wenyewe. Kikundi hiki cha Upendo kipo katika Mtaa wa Lipinyapinya,
Peramiho ‘B’ Wilaya Songea mkoani Ruvuma.
Kinywaji baridi cha wanzuki hutengenzwa kwa kutumia maji, majani ya chai, sukari na amila na kusindikwa kwenye chupa mbalimbali zikiwemo za soda, bia na maji.
Mweyekiti wa Kikundi
cha Upendo Bi. Asumpta Luoga
alisema kuwa kikundi hiki kilianza tarehe
5 May, 2011 kikiwa na wanachama wachache
kwa mboga za majani hasa Chinese, na kwa sasa kina jumla ya wanachama 20.
“Tulianza kwa kuuza Chinese baada ya kuona kuwa mtaji
umekuwa kidogo tukaachana na biashara hiyo na kubuni biashara nyingine japo tulianza kutengeneza pombe ya kiyenyeji aina ya Wanzuki” alisema Bi. Luoga.
Pombe hii ya Wanzuki malighafi...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.