Skip to main content

Posts

Showing posts from October 1, 2015

Mke wa Lowassa awapa mbinu za kupiga kura Babati

ticle class="main column"> Thursday, October 1, 2015 Mke wa mgombea urais wa Chadema, Regina Lowassa akizungumza na wanawake katika moja ya mikutano yao. Picha na Maktaba  Amewataka kutobabaika siku ya uchaguzi kwa kuwa kipindi cha mabadiliko kimefika By Joseph Lyimo, Mwananchi Babati. Mke wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina amewaomba Watanzania kuwa makini siku ya kupiga kura, kutunza kadi zao. Pia, Regina amewaomba wapigakura wasichore wala kuandika chochote kwa mgombea mwingine siku ya kupiga kura ili kuepuka kuharibu kura zao na kumpunguzia idadi ya kura mumewe. Alitoa ombi hilo juzi, wakati akizungumza na wakazi wa mjini Babati, baada ya kumaliza kuzungumza katika mkutano wa ndani na wanawake. Alisema ili wasiharibu kura zao baada ya kuwasili asubuhi kwenye kituo cha kupiga kura, wanatakiwa kuweka alama ya vema kwenye eneo la mgombea udiwani, ubunge na urais wa Chadema. Alisemawananchi wameh...

US accuses Russia of 'throwing gasoline on fire' of Syrian civil war

Image provided by Homs Media Centre of smoke rising after airstrikes in Talbiseh. Photograph: Associated Press Shaun Walker in Moscow, Kareem Shaheen and Martin Chulov in Beirut, Spencer Ackerman and Julian Borger in New York Washington has accused Moscow of throwing “gasoline on the fire” of the Syrian civil war, rejecting Russia’s claims that its first airstrikes in the war-torn country had targeted Islamic State terrorists. In a dramatic escalation of the conflict in Syria, Russia launched a series of airstrikes on Wednesday that it said were aimed at Isis terrorists but which mainly appeared to hit less extreme groups fighting Bashar al-Assad’s regime.  The Russian gambit – the first time the country has launched major military action outside the borders of the former Soviet Union since the end of the cold war – came two days after the Russian president, Vladimir Putin, spoke to the UN and called for an international coalition against terrorism t...

INTERNATIONAL DAY OF OLDER PERSONS, SUSTAINABLE CITIES FOR ALL AGES

UNFPA's Executive Director, Dr. Babatunde Osotimehin. Population ageing and urbanization are major global issues of the 21st century. While cities are growing, their share of residents aged 60 years and over is also rising. Rapid urbanization is challenging both national and local governments in developing inclusive and integrated cities. Today, as we observe the International Day of Older Persons, we must ensure that cities respond to the needs of persons of all ages and that older persons are as much a part of urban life as their younger counterparts. This year’s theme of Sustainability and Age Inclusiveness in the Urban Environment fits in perfectly with the objectives of the recently adopted 2030 Agenda for Sustainable Development: leave no one behind! Together, we must ensure that older persons are fully integrated in cities’ economic, social, political and cultural life. What can we do to make our cities more inclusive? We can start by ensuring that ...