Skip to main content

Posts

Showing posts from January 4, 2016

Pam D Ft Mesen Selekta – Popo lipopo (Official Video)

LINK YA YOUTUBE: https://www.youtube.com/watch?v=MYgsBRcpi1c

WATANZANIA MSIKUBALI KUTOZWA RUSHWA KWA AJILI YA DAMU - DK. KIGANGWALLA

Afisa Uendeshaji wa Ofisi za Mpango wa Taifa wa Damu Salama zilizopo jijini Dar es Salaam, Bw. Abdu Juma akitoa maelezo ya namna wanavyoendesha shughuli zao kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kingwangalla aliyefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi hizo, Januari 4, 2016. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog ). Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameagiza watanzania wote wasikubali kutozwa rushwa kwa ajili ya damu salama na baadala yake kwa mtu atakayefanya hivyo watamchukulia hatua kali. Kauli hiyo imetolewa mapema jana na Naibu huyo wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Kingwangalla alipofanya ziara katika Ofisi za Mpango wa Taifa wa Damu Salama zilizopo jijini Dares Salaam. Dk. Kigwangalla amefafanua kuwa, kwa watu wote ikiwemo Nesi, Daktari ama mtaalamu wa afya, atakayemtoza mtu damu, atachukuliwa hatua kali ikiwemo kufukuzwa ...

MAGAZETIINI LEO JUMANNE

IRINGA MUNCIPAL COUNCIL VOWS TO INCREASE REVENUE COLLECTION

IRINGA Municipal Council (IMC) plans to raise the revenue collection from 2.5 billion shillings to reach seven billion shillings during the 2016/2017 financial year in order to improve and provide key social services for people, hence economic development. Iringa Urban Municipal Mayor Alex Kimbe made the statement in his New Year message when he was addressing a public meeting organized by Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) meant to thank Iringa residents for voting them into power in which they won the parliamentary seat and 14 seats for ward councilors. The mayor who is ward councilor for Isakalilo Ward (CHADEMA) in his new year message during public rally held at Mwembetogwa grounds said he thanked the Iringa urban residents for trusting them by giving them a landslide victory during the October 25, 2015 general elections in which the won a parliamentary seat and 14 out 18 wards.  Iringa urban Constituency Member of Parliament Rev. Peter Msig...

WATU WANNE WAMEKUFA NA 32 KUJERUHIWA BASI LUWINZO

Basi la abiria la kampuni ya Luwinzo lenye namba za usajili T 782 ACR aina ya Scania linalofanya safari za Dar es salaam - Njombe limepata ajali asubuhi hii likitokea Njombe kuelekea Dar, baada ya kugongana na lori yenye namba za usajilli T 718 CRV aina ya IVECO. Lori hilo lilikuwa linatokea Songea kwenda Dar likiwa limebeba makaa ya mawe.   Inasadikika limeua baadhi ya abiria na majeruhi ni wengi. Ajali imetokea maeneo ya Kinegembasi Kata ya Mbalamaziwa (Mufindi). ==== Hadi sasa, waliothibitika kupoteza maisha ni wanne na wengine 32 kujeruhiwa kwa mujibu wa mganga mfawidhi wa hospitali ya Mafinga Innocent Mhagama. Waliofariki dunia ni Rashid Kibalala,47 ambaye alikuwa ni kondakta wa basi, Salim Chamgwila, 28 ambaye alikuwa mkaguzi wa tiketi (inspekta) na maiti mbili bado hazijatambulika.

MPAMBE WA IGP AFA NA FAMILIA YAKE, NI BAADA YA GARI WALILOKUWA WAKISAFIRIA KUSOMBWA NA MAFURIKO

  NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said WATU wanane wamefariki dunia akiwemo mpambe wa (ADC), wa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP, Inspekta Gerald. Ryoba kutokana na mafuriko ya mvua huko Kibaigwa mkoani Dodoma.  Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, David Misiime, Mpambe wa IGP, akiwa na familia yake walikutwa na umauti baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam, kwenye barabara kuu ya Dodoma-Morogoro kusombwa na mafuriko ya maji yaliyokuwa yakienda kasi usiku wa kuamkia leo Januari 4, 2016 eneo la bwawani.  Akifafanua zaidi, Kamanda huyo wa polisi amewaambia waandishi wa habari mkoani Dodoma leo Januari 4, 2016 kuwa katika gari hilo kulikuwa na watu 6 ambao wote walifariki dunia na miili yao tayari imepatikana wakiwemo watu wengine wawili wakazi wa eneo hilo.  Kamanda Misiime amewataja marehemu kuwa ni pamoja na Gerald Ryoba ambaye ni msaidizi wa Mkuu wa jeshi la Polisi nchini, watoto ambao ni Gabriel...

Suspected UK extremist and English-speaking boy warn of attacks in Isis clip

Intelligence agencies investigate after video purportedly showing murder of five people is presented by British-sounding man and boy in military fatigues   Screengrab from a video purporting to be Isis showing a young boy making threats to kill. Photograph: Supplied Aisha Gani and Ewen MacAskill An extremist suspected to be British and a young English-speaking boy have appeared in a new Islamic State propaganda video that appears to show the murder of five hostages accused of being UK spies. The 11-minute footage, which was released by the Isis media wing, includes a “message for David Cameron”, read by a masked man with a British-sounding accent who threatens attacks in the UK. Why Isis fights Standing behind five kneeling hostages in orange jumpsuits, the unknown extremist repeatedly points a gun at the camera while claiming to be preparing an invasion of Isis fighters in Europe. The video then appears to show the murder of the hostages...