Skip to main content

Posts

Showing posts from August 14, 2017

WAUZA MAGAZETI MKOANI IRINGA WAIOMBA JAMII KUTHAMINI KAZI YAO

WAUZA magazeti mkoani Iringa wameiomba jamii kuthamini kazi yao ya kuuza magazeti na kuachana na dhana potofu ya kuwaona kama ni watu wasiofaa katika jamii. Wauza mgazeti hao waselima hayo wakati wakiongea na Nipashe jana kupitia umoja wa wauuza magazeti Iringa (UWAMAI), nakuongeza kuwa wameamua kuanziasha umoja huo ili kuondoa dhana potofu ya jamii juu yao. Walisema kuwa wapo watu wanaowafananisha na wahuni, wavuta bangi na wasiokuwa na maadili katika jamii na wengine kuwahisi kuwa na itikadi Fulani wa vyama vya siasa. Akifafanua kuhusu jambo hilo mweneyekiti wa umoja huo wa UWAMAI, Mashaka Kayoka alisema kuwa kazi ya kuuza magazeti ni kazi kama kazi zingine za kujiingizia kipato. Kayoka aliwaomba wadau mbalimbali wa magazeti pamoja na serikali kuviunga mkono vikundi kama hivyo kwa kuthamini kazi zao yakusambaza magazeti kwa wateji mbalimbali ili wapate habari. “Tumekuwa tukinyoshewaa vidole na jamii kwamba wauza magazeti ni wahuni na watu wa vurugu, kumbe wal...

NEWSPAPER VENDORS IN IRINGA ASK FOR COMMUNITY SUPPORT

THE newspaper vendors in Iringa have asked the community to appreciate their work of selling newspapers and to abandon the misconceptions of viewing them as inappropriate people in society. The vendors said that when they talked to The Guardian reporter yesterday through the Iringa newspaper vendor group (UWAMAI), adding that they have decided to start the unity so as to eliminate community misconceptions about them. They argued that there are people view them like antagonists, smokers, and immoral in society and others feel that they have some ideology for political parties. Explaining to the reporter, the chairman of the UWAMAI coalition, Mashaka Kayoka said that the job of selling newspapers is a job like other jobs of income-generating activities. Kayoka asked various stakeholders of the newspapers, the government and private sector to support such groups to appreciate their work of distributing newspapers to different stakeholders for information. "We ...

Tax avoidance Half of landlords in one London borough fail to declare rental income

Newham council says HMRC may be losing £200m a year in London alone after finding half its 27,000 landlords failed to register for self-assessment Newham council estimated it had 30,000 private properties rented out by 5,000 landlords. After the licensing process, it found 50,000 properties owned by 27,000 separate landlords. Photograph: Justin Kase z11z / Alamy/Alamy Patrick Collinson Sunday 13 August 2017 14.04 BSTLast modified on Monday 14 August 2017 01.05 BST Up to 13,000 landlords in just one London borough have been identified as failing to declare their rental income, prompting estimates that unpaid tax in the capital is costing the public purse nearly £200m. Newham council in east London, the first to introduce a compulsory borough-wide licensing scheme for landlords in 2013, shared their names and property addresses with HM Revenue & Customs. Newham, which has 27,000 registered landlords, said it understands that 13,000 had not regis...

MAGHEMBE AFUTA MIKATABA YA UWINDAJI, AVUNJA BODI YA MBOMIPA

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe ameivunja bodi ya Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori Tarafa ya Idodi na Pawaga (Mbomipa) pamoja na kufuta mikataba ya kampuni mbili zinazoendesha shughuli za uwindaji wa kitalii katika eneo hilo. Mbomipa ni eneo la hifadhi ya jamii ya wanyamapori linalopakana na hifadhi ya Taifa ya Ruaha, wilayani Iringa mkoani Iringa lenye wanyamapori wengi wanaoingia na kutoka katika hifadhi hiyo linaloundwa na vijiji 21 vya tarafa hizo mbili. Bodi iliyovunjwa inaundwa na Mwenyekiti Zabron Luvinga na Steven Nyandongo, Alban Lutambi, Mawazo Malembeka na Denis Ngede ambao ni wajumbe; na kampuni zilizofutiwa mikataba ni Kilombero North Safaris Ltd na Mkwawa Hunting Safaris Ltd. Wakati mmiliki wa kampuni ya Mkwawa Hunting Safaris Ltd Ahamed Huwel alisema amepokea bila kinyongo chochote uamuzi huo wa waziri alioutangaza juzi mbele ya wanajumuiya hiyo katika kijiji cha Tungamalenga, mmiliki wa...