Na Friday Simbaya Afisa Mwandamizi wa Shughuli (Senior Operations Officer) wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoa wa Ruvuma Bw. Bernabers W. Ndunguru ametoa wito Baadhi ya wafanyakazi wa Abasia ya Peramiho wakipitia vipeperushi mbalimbali waktati semina ilioendeshwa na maafisa kutoka Mfuko wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoa wa Ruvuma. Mwakilishi wa mwajiri wa Abasia ya Peramho, Bw. Kelvin Zenda akiwatambulisha maafisa kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoa wa Ruvuma kwa wanachama ambao ni wafanyakazi wa Abasia ya Peramiho wakati wa semina katika Ukumbi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Peramiho. Kutoka kulia kwake ni Bw. Barnabers W. Ndunguru (Senior Operations Officer NSSF Ruvuma), kushoto kwake ni Bw. Mussa Adam (Compliance Officer NSSR Songea) akifuatiwa na Bw. Michael William (Compliance Officer, Songea). (Picha na Friday Simbaya) kwa waajiri ambao hawapelek...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.