Skip to main content

Posts

Showing posts from April 5, 2017

Wagombea wa Chadema Washindwa Ubunge wa Afrika Mashariki…!!!

Lawrence Masha na Friday Simbaya leo Dodoma (Picha na Chris Jr Simbaya) Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamewachagua wajumbe 7 wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania huku wagombea wawili wa CHADEMA wakipigiwa kura za ‘HAPANA’ na hivyo kushindwa kupitishwa. Wagombea hao wa CHADEMA ni Lawrence Masha na Ezekiel Wenje, ambao pia waliungana na wagombea wengine wote kujieleza mbele ya wabunge kabla ya zoezi la upigaji kura. Kwa upande wa CCM, walioshinda ni 1. Fancy Nkuhi 2. Happiness Legiko 3. Maryam Ussi Yahya 4. Dkt Abdullah Makame 5. Dkt Ngwaru Maghembe 6. Alhaj Adam Kimbisa CUF iliyokuwa na wagombea watatu kwa ajili ya nafasi moja, aliyeshinda ni Mohamed Habib Mnyaa akiwashinda Twaha Taslima na Sonia Magogo Awali palitokea mabishano ya kikanuni juu ya wagombea wa CHADEMA yaliyosabaishwa na chama hicho kuweka wagombea wawili pekee wakati nafasi kwa ajili ya chama hicho zikiwa mbili pia. Baadhi ya wabunge walitaka Spika a...

WWF ADVOCACY STRATEGY WORKSHOP IN DODOMA

WWF-Ruaha Water Program is in the process of developing advocacy strategy for Great Ruaha Catchment and has hired a consultant to support in the process, and for the time being the consultant is collecting information from multiple stakeholders.  A One day consultative stakeholders meeting has been organized in Dodoma for the purpose of discussing and getting views from targeted stakeholders and develops the first advocacy strategy document. However, the WWF Tanzania Country Office (TCO) has identified three river sub-basins as priority areas for its 5-year (2015-2020) country Strategic Plan; these are the Great Ruaha, Kilombero as well as Mara rive sub-basins. FRESHWATER CONSERVATION GOAL by 2020, environmental flows are restored to, or maintained at, target levels in Great Ruaha, Mara and Kilombero rivers contributing to water security for men, women and wildlife dependent on those flows.