Meneja Selebu Rocks Spring Water Ltd Edgar Lamba (kulia) akikabidhi msaada wa vifaa vya umeme jua (solar panel kits) kwa Paroko Fr. Silvanus Ndazi wa Parokia ya Mtandika, Jimbo Katoliki Iringa jana. KILOLO: Parokia ya Mtandika katika Jimbo Katoliki Iringa wilayani Kilolo mkoani Iringa itasherehekea Siku Kuu ya Pasaka kwa mwanga baada ya kupata msaada wa umeme wa nishati ya jua (solar panel kits) kutoka Selebu Rocks Spring Water Ltd Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa. Msaada huo wenye thamani shilingi milioni 6.9 ni mchango kutoka kwa mkurugenzi na mfanyabiashara mkongwe Mzee John Lamba wa Kiwanda cha maji wilayani kilolo, mkoani Iringa. Akizungumza jana wakati wa kukabidhi vifaa hivyo vya umeme wa jua, Meneja Selebu Rocks Spring Water Ltd Edgar Lamba kwa niaba ya mkurugenzi na mfanyabiashara mkongwe Mzee John Lamba alisema kuwa wamesukumwa kutoa vifaa hivyo ili kuwezesha upatikanaji wa huduma za kiroho nyakati zote na kuzingatia kuwa Parokia ya Mtand...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.