Skip to main content

Posts

Showing posts from December 7, 2016

KAYA 6,464 WILAYANI KILOLO ZINANUFAIKA NA MPANGO WA TASAF

Afisa Maendeleo ya Jamii na Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Mkoa wa Iringa, William Kingazi akizungumza na walengwa wa malipo katika mpango wa unusuru kaya maskini Kijiji cha Magunguli wilayani Mufindi, mkoani Iringa hivi karibuni. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA) KILOLO: Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa imefanikiwa kutekeleza Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kuanzia zoezi la utambuzi, uandikishaji, uhakiki na malipo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF). Hayo yalisemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya ya Kilolo, Grace Killo wakati wa mahojiano maalum na Nipashe ofisini kwake jana. Alisema kuwa jumla ya kaya maskini 6,464 zilitambuliwa na kujengewa uwezo katika vijiji 70 vilivyo kwenye mpango. Alisema kuwa ugawaji wa ruzuku katika vijiji 70 vilivyo kwenye mpango umesababisha kuongezeka kwa mzunguko wa fedha kwenye vijiji hivyo na kusababisha kukua kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi. Alisema kuwa baadhi ya kaya nufaika zimefa...

ACCESS BENKI WAZINDUA TAWI MJINI IRINGA

The Iringa Regional Commissioner Amina Masenza (right) cuts a cake during the launching ceremony of the new Access Bank Tanzania Branch in Iringa Town on Wednesday, others on her right hand side is the Branch Manager Frederick Masungwa and Head of Business Development, Andrea Ottina. (Photo by Friday Simbaya) Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza (kulia) akikata keki wakati wa sherehe ya uzinduzi wa tawi jipya la Access Bank Tanzania (ABT) mjini Iringa leo(Jumatano), wengine upande wake wa kulia ni Meneja wa Tawi Frederick Masungwa na Mkuu wa Maendeleo ya Biashara, Andrea Ottina. (Picha na Friday Simbaya)

ACCESS BANK LAUNCHES ITS NEW BRANCH IN IRINGA

The Iringa Regional Commissioner Amina Masenza (right) cuts a cake during the launching ceremony of the new Access Bank Tanzania Branch in Iringa Town on Wednesday, others on her right hand side the branch manager Frederick Masungwa and head of business development, Andrea Ottina. (Photo by Friday Simbaya) Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza akisalimiana na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati wa sherehe ya uzinduzi wa tawi jipya la Access Bank Tanzania (ABT) mjini Iringa leo(Jumatano). (Picha na Friday Simbaya) Branch touring IRINGA: AS Access Bank Tanzania (ABT) officially launches its new branch in Iringa region, Iringa Regional Commissioner Amina Masenza has urged the bank to go and serve the rural community. The RC made the statement on Wednesday during the launching ceremony, other attendees including distinguished guests, access bank customers, representatives from bank of Tanzania (BOT), local banks and members of media.  She gr...