Skip to main content

Posts

Showing posts from October 17, 2017

KIKAO CHA BARAZA KUU LA UWT TAIFA LEO DODOMA

Katibu Mkuu wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Amina Makilagi akizungumza wakati wa Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyi Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017. Kulia ni Katibu wa NEC Oganaizesheni Pereila Silima na katikati ni  Mwenyekiti wa muda wa kikao hicho Diana Chilolo. (Picha na Bashir Nkoromo)

TRA YALALAMIKIA MWITIKIO MDOGO MATUMIZI YA EFD

MENEJA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Iringa, Lampson Tulianje amesema kuwa wafanyabiashara wa hoteli mkoani hapa wana mwitikio mdogo wa kutoa risiti za EFD baada ya kufanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali na kubaini hilo. Akizungumza mara na wanahabari mara baada ya kufanya zoezi la ukaguzi wa hoteli mbalimbali mkoani hapa, Tulianje alisema kuwa wafanyabiashara wanaouza bidhaa zao pasipo kuwapatia risiti za mashine za Kielektroniki (Efd) wateja wao mara kwa mara hali inayokosesha TRA mapato. Alisema kuwa kampeni hiyo imeendelea kufanyika katika hoteli zote mkoani hapa kwa kushtukiza hali ambayo wanakutana nayo ni wafanyabiashara hao kutoa risiti kwa wateja wachache tofauti na wanavyowahudumia wateja wengi kwa siku. Alisema kuwa kutona na hali hiyo TRA mkoa wa Iringa itaendelea kufanya zoezi hilo kuhakikisha wafanya biashara wanazingatia sheria, kanuni na taratibu za biashara katika mauzo ya bidhaa zao kwa kutoa risiti kwa kila mteja wanayemhudum...

TRA IRINGA LAMENTS ON THE LOW USAGE OF EFDs BY TRADERS

TRA Iringa regional manager, Lampson Tulianje (Photo by Friday Simbaya) The Tanzania Revenue Authority (TRA) in Iringa region has lamented on the poor response on usage of electronic fiscal devices (EFDs) which denies the government some revenues. TRA Iringa regional manager, Lampson Tulianje, said the local businesses especially hotel's have a slight response to issuing EFD receipts as it was observed during the survey conducted in various areas the region. Speaking to journalists yesterday after conducting a multi-hotel audit exercise in the region here, Tulianje said that traders who sell their products without giving their customers electronics receipts regularly were breaking the law of the country. He said that the campaign has been carried out in all hotels in the region here by surprise and they detected the traders were offering receipt to a few customers although they serving many customers a day. He said that in the case of TRA, they w...

RC MASENZA HAILS USAID NAFAKA MAIZE FORTIFICATION PROGRAM IN IRINGA

Maelezo ya picha:Iringa Regional Commissioner, Amina Masenza (with plastic bucket)launching maize fortification program at Ruaha Milling Company Limited in Iringa yesterday. (Photo by Friday simbaya)   Maelezo ya picha: Group photo - Iringa Regional Commissioner, Amina Masenza in a group photo with millers and some of regional nutrion committee members during the launch of maize fortification in Iringa recently  By Friday Simbaya, Iringa IRINGA Regional Commissioner Amina Masenza has hailed the maize fortification program in Iringa and said food supplements are one of the most effective ways to improve nutrition and eliminate problems associated with poor nutrition.  She said that experts said that children with improved nutritious care, especially during the first 1,000 days of their lifetime, ie from the mother's pregnancy to a child who is two years; they earn lasting benefits throughout their lives.  Feed the Future Tanzania ...

HABARI MPYA: MBOWE AZUNGUMZA TENA KUHUSU LISSU!

Trump Says There’s ‘No Such Thing As Obamacare Anymore’ One Month Before Enrollment Starts

President Donald Trump falsely claimed on Monday the Affordable Care Act no longer exists, a statement that follows a long list of actions his administration has taken to undermine the law.  “Obamacare is finished. It’s dead. It’s gone. You shouldn’t even mention it. It’s gone. There is no such thing as Obamacare anymore ,” Trump insisted during a meeting with his Cabinet at the White House. Contrary to the president’s claims, Obamacare is still the law of the land. In most states, consumers can sign up for health insurance coverage for 2018 from Nov. 1 to Dec. 15. That’s not to say that it will remain on solid footing. Trump’s administration inflicted two separate blows on the law last week, sowing further instability in the health insurance exchanges set up under Obamacare.  The White House announced Thursday it would halt subsidies that low-income Obamacare consumers rely on, a move that Sen. Susan Collins (R-Maine) said would threaten “the abili...