Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki Dkt Augustine Mahiga.(katikati mwenge suti nyeusi) akipata maelezo ya ujenzi wa maabara ambao unaendelea kutoka kwa Mkuu wa shule ya sekondari kidamali Sixtus Kanyama (kushoto) ambayo ipo katika kata ya nzihi wilayani Iringa, mkoani Iringa akiambatana na maafisa toka ubalozi wa Korea kusini na maafisa wa shirika la world share la Korea kusini jana. Shirika la world share linatalajia kujenga hosteli ya wasichana lenye uwezo la kubaba wanafunzi za ya 200 katika mkakati wa kupunguza tatizo la mimba kwa watoto wa kike. (Picha na Friday Simbaya) World share country director, Tanzania Kim, Yunsung is trying to open a dry water tap at Kidamali Secondary School in Iringa district, Iringa region yesterday. The school is facing an acute water problem since the broken down of water project at school but he has promised to fix the the problem immediately. (PHOTO BY FRIDAY SIMBAYA) IRINGA: The W...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.