Skip to main content

Posts

Showing posts from September 27, 2015

MKUTANO WA KAMPENI WA MGOMBEA URAIS WA CCM Zanzibar Dk Shein

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mhe Shamsi Vuai Nahodha akisalimiana naViongozi wa CCM wa Mkoa wa Kusini Unguja baada ya kuwasili katika viwanja vya mkutano wa hadhara wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, uliofanyika viwanja vya mpira bungi.  Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Viongozi wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja alipowasili katika viwanja vya mpira bungu kuhudhuria Mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein. Wanachama wa CCM wakiingia katika viwanja vya mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, wakiwa na picha za Wagombea  Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ndg Ramadhan Abdalla alipowasili katika viwanja vya Bungu kuendelea na Kampeni zake za kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM. Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakimsikiliza Mgombe...

MBUNGE SUGU SASA AWA MFUPA MGUMU KUMTOA MBEYA MJINI

MGOMBEA wa Ubunge kupitia jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Jospeh Mbilinyi “Sugu” ni kama ameshajihakikishia ushindi ndivyo unaweza kusema baada ya mikutano yake yato ya kampeni kupata mwitikio mkubwa wa watu. Sugu ambaye anaungwa mkono pia na vyama vinavyounda Ukawa ambavyo ni CUF,NCCR-Mageuzi pamoja NLD, ambapo leo akiwatubia wakazi wa Igawilo-Uyole mjini Mbeya, mkoani hapo, huku akisimamisha shughuli za kijamii katika maeneo hayo baada ya wakazi wengi kujitokeza kama unavyoona pichani. Ambapo Sugu amewataka wakazi wa Mbeya kutofanya makosa makubwa tena kwa kukichagua Chama cha Mapinduzi CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu, kwa kusema hakina nia ya dhati ya kumkomboa mtanzania ikiwemo mkoa wa mbeya ambao amedai licha ya kuwa na mali nyingi anasikitika kwanini wananchi bado ni masikini .

MAANADALIZI YA KUMPOKEA DKT. JOHN POMBE YAPAMBA MOTO MJINI IRINGA...!

Maandalizi ya kumpokea mgombea urais kupitia tiketi ya CCM Dr. John Pombe Joseph Magufuli yanaendelea leo Mkoani Iringa katika uwanja wa CCM SAMORA wote mnakaribishwa kuja kumsikiliza.  Dr. John Pombe Joseph Magufuli ambaye atakuwa sambamba na mgomea ubunge wa Iringa Mjini Frederick Mwakalebela pamoja na madiwani wake wote wa Jimbo la Iringa mjini.

I’ve got what it takes to be PM, Jeremy Corbyn tells his critics

  Labour leader Jeremy Corbyn has urged voters and party supporters to respect him as the head of a powerful new movement on the left of British politics. Photograph: Richard Saker for the Observer Toby Helm and Daniel Boffey A defiant Jeremy Corbyn has insisted that his own MPs will never force him out of the Labour leadership as he calls on voters and party supporters to respect him as the head of a powerful new movement on the left of British politics. Ahead of his first conference as leader, which opens in Brighton on Sunday, Corbyn says those who think he could be persuaded to resign in time for a new leader to be put in place before the next election underestimate his determination and his mission to reach No 10. In an exclusive interview with the Observer, Corbyn hits backs at New Labour critics such as Peter Mandelson, who suggested that his leadership would implode when people realised that he was unelectable. Asked whether he might be persuad...