Skip to main content

Posts

Showing posts from September 14, 2013

MKUTANO WA WADAU WA HABARI SONGEA

(L-R) Mohamed Mchele mdau, M/kiti - UWABIMASO Karim Ismail na Shekhe Abdullah Hamidu (Kitete) ambaye in shekhe wa Wilaya ya Songea mjini wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa mkutano wa wadau wa habari ulioendeshwa na Chama cha waandishi wa habari mkoa wa Ruvuma (RPC) kwa ufadhili ya Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC),uliyofanyika Ukumbi wa Majengo SACCOS Mitumbani Songea mijini.                               Mwenyekiti wa Umoja wafanyabiashara Manispaa ya Songea (UWABIMASO) Karim Ismail Matumca akifuatilia mada mbalimbali wakati wa mkutano wa wadau wa habari ulioendeshwa na Chama cha waandishi wa habari mkoa wa Ruvuma (RPC) kwa ufadhili ya Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC),uliyofanyika Ukumbi wa Majengo SACCOS Mitumbani Songea mijini.

JKT MLALE YAIBAMIZA MAJIMAJI FC MAGOLI 2-0

Mwenyekiti wa Timu ya Majimaji Hamphrey Milanzi (kushoto) na Kocha ya timu  hiyo Peter Mhina wakifuatilia mchezo kwa umakini kati  ya timu yao na JKT Mlale  uliofanyika katika Uwanja wa Majimaji mjini Songea, mkoani Ruvuma leo, ambapo JKT Mlale ilishinda magoli 2-0. (Picha na Friday Simbaya) Na Friday Simbaya, Songea  JKT  MLALE imeiadhibu timu ya Majimaji ya Songea mjini bila huruma kwa kuibamiza magoli 2-0 katika michuano ya Ligi Daraja la Kwanza (FDL) inayoshirikisha timu 24 zilizogawanywa katika makundi matatu msimu huu, iliyoanza kutimua vumbi Septemba 14, mwaka huu. Mechi ya ufunguzi ya timu hizo mbili zilifanyika katika Uwanja wa Majimaji mjini Songea mkoani Ruvuma, huku wenyeji Majimaji FC wamechapwa magoli 2-0 na timu ya JKT Mlale. Aidha, JKT Mlale ilipata goli la kwanza kupitia mshambuliaji wake Edward Songo mnamo dakika 19 katika kipindi cha kwanza na goli la pili lilifungwa na Ally Bilali dakika ya 21.  Kila timu i...