Skip to main content

Posts

Showing posts from June 21, 2015

GRL yakabidhi jengo kwa kijiji cha Mabaoni

Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Mabaoni, Sailas Ndenga (kushoto) akipekea hati ya jengo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Green Resources Ltd, Anthony Kisondella wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Kijiji cha Mabaoni, wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA) Wananchi wa Kijiji cha Mabao, viongozi wa Green Resources Ltd pamoja na viongoizi wa serikali wakiwa nje jengo jipya lililojengwa na Kampuni ya GRL na kukabibidhiwa kwa serikali ya kijiji hicho baada ya hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Kijiji cha Mabaoni, wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA) Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mufindi (DED) akihutubia wananchi wa Mabaoni. Rai hiyo imetolewa jana na Kaimu Mkurugenzi wa GRL, Anthony Kisondella kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji, Roselyne Mariki, wakati akikabidhi jengo la ukumbi na ofisi kwa Kijiji cha Mabaoni katika Kata ya Makungu, wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa. Kai...

Green Resources Limited donates a building to Mabaoni villagers

The Chairman of the Village Council of Mabaoni, Sailas Ndenga (left) receives a certificate of a building from the Acting Director of Green Resources Ltd; Anthony Kisondella during a brief handing over ceremony took place in the village in Mufindi district, Iringa region yesterday. (PHOTO: FRIDAY SIMBAYA) The villagers are coming out of the newly built building donated by Green Resources Ltd after a brief handover ceremony took place at the village of Mabaoni ni Mufindi district, Iringa Region yesterday. (PHOTO: FRIDAY SIMBAYA Executive Director of the Council of Mufindi (DED), Saada Malunde making a speech during handing over ceremony of the building to Mabaoni Village by Green Resources Ltd yesterday.  Green Resources Limited (GRL) has donated a building that encompasses a conference hall and offices to Mabaoni Village in Mufindi District, Iringa Region as part of its Corporate Social Responsibility (CSR). Corporate Social Responsibility is a ma...

Mwenge wa Uhuru kuzinduwa miradi 35 yenye thamani ya shillingi .4, 985,562,793/= mkoani Iringa

MWENGE wa Uhuru utawasili Mkoani Iringa tarehe 22 Juni, 2015 na kukimbizwa hadi tarehe 26 Juni, 2015 na kuweka mawe ya msingi, utakagua, utazindua na kufungua jumla ya miradi ya maendeleo 35 yote ikiwa na thamani ya shillingi 4, 985,562,793/= . Mkuu wa Mkoa alisema jana kuwa Mwenge wa Uhuru utapokelewa kutoka Mkoa wa Morogoro tarehe 22 Juni, 2015. Makabidhiano yatafanyika katika kijiji cha Ruaha Mbuyuni.