Skip to main content

Posts

Showing posts from October 29, 2017

CCM YAZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UDIWANI

Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akimnadi mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, leo. Akizungumza amesema CCM itashinda Udiwani kata zote tatu ambako uchaguzi unarudiwa mkoani Dar es Salaam. Kata zingine ni Saranga na Mbweni. Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akiwasili kwenye Uwanja wa mkutano kuzindua kampeni za Uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Kijichi, leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Almishi Hazal Wananchi na wana CCM wakishangilia wakati Kusilawe na viongozi wenzake wakiingia Uwanjani Vijana wa hamasa wakichangamsha mkutano huo Madansa wakicheza muziki kuchangamsha mkutano huo wa uzinduzi wa kampeni za CCM za Udiwani kata ya Kijichi. Mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM kata ya Kijichi Eliasa Mtalawanje akisalimia baada ya kutambulishwa kutambulishwa kwenye mkutano huo Mtalawanje akitroti baada ya kutambulishwa...

PHARMACISTS AND DEALERS HAVE TO COMPLY WITH THE RULES, REGULATIONS, DR. SALIM

Iringa Regional Medical Officer (RMO). Dr. Robert Salim (R) is listening students at the “Pharmacists Day “celebration organized by the Tanzania Pharmaceutical Student Association (TAPSA), a branch of the Ruaha Catholic University (RUCU) yesterday. (Photo by Friday Simbaya) A cross-section of students at the " Pharmacists Day " celebration organized by the Tanzania Pharmaceutical Student Association (TAPSA), a branch of the Ruaha Catholic University (RUCU) yesterday. (Photo by Friday Simbaya) Pharmacists and dealers with pharmaceuticals have been asked to comply with the rules, regulations and procedures for selling pharmaceuticals. This was commented yesterday by Iringa Regional Medical Officer (RMO). Dr. Robert Salim at the " Pharmacists Day " celebration organized by the Tanzania Pharmaceutical Student Association (TAPSA), a branch of the Ruaha Catholic University (RUCU) for sponsorship of the Austrian Leprosy...

MAFAMASIA NA WAFANYABIASHARA WA DAWA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA...,

PICHA ZOTE NA FRIDAY SIMBAYA Wafamasia na wafanyabiashara wenye maduka binfasi ya dawa za binadamu na mifigo wameombwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uuzaji dawa. Hayo yalisemwa jana na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dkt. Robert Salim katika maadhimisho ya ‘Siku ya Famasi’ yaliyoandaliwa na chama cha wanafanzi wa famasi –Tanzania (TAPSA), tawi la Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (RUCU) kwa ufadhili wa shirika la Austrian Leprosy Relief Association kwa kushirikiana shirika la Action Medeor. Maadhimisho hayo ambayo yalienda sambamba na kaulimbiu isemayo, ‘MAPAMBANO DHIDI YA USUGU WA DAWA NI YA KILA MMOJA WETU.’  Dkt. Salim alisema kuwa wafamasia na wafanyabiashara wanatakiwa kuuza dawa kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu kwa mfano, kuuza dawa za moto kwa prescription na kutunza dawa vizuri. Alisema kuwa serikali ya awamu ya tano ina lengo la kuifikisha nchi katika uchumi wa kati kupitia sekta ya viwanda. Mganga mk...