Skip to main content

Posts

Showing posts from December 13, 2015

KIJIJI CHA MFANO CHAMNDINDI KUTEKELEZA MRADI WA NISHATI MBADALA

Ofisa Nishati Jadidifu toka WWF, Phillipina Shayo Mratibu wa Shirika la TAGRODE, Dickson Mwalubandu, akihamasisha jamii ya wafugaji wa kitongoji cah Kipanga katika Kijiji cha Chamndindi wilayani Iringa, mkoani Iringa kuhusu matumizi ya nishati mbadala juzi, ambapo aliambatana na Afisa Nishati Jadidifu (nishati mbadala) kutoka WWF Tanzania, Philipina Shayo (mwenye miwani aliyeketi). (Picha Friday Simbaya) Shirika la Utunzaji wa mazingira duniani (WWF- Tanzania) (WWF-TCO) kupitia mradi wake Nishati Mbadala (RE) imeanza kutekeleza Mradi wa Nishati Mbadala katika Kijiji cha mfano Chamndindi, Wilaya ya Iringa ya Mkoa wa Iringa. Ofisa Nishati Mbadala wa WWF Tanzania, Phillipina Shayo alisema mradi huo ni kuhakikisha upatikanaji wa bei nafuu, kuaminika, endelevu na wa kisasa wa nishati kwa jamii katika Kijiji Chamndindi pamoja navijiji vya jirani, hivyo kuimarika kwa ufanisi wa nishati. Hayo yalifahamika Alhamisi wiki iliyopita wakati wa warsha ya kujadili...

Ultrasound During Pregnancy

    SEE ALL  9 COMMENTS Hey, baby! Get ready for your first close-up — it's time for an ultrasound. 62 shares TRENDING WITH MOMS Pregnancy What Every Mom Needs to Know About Maternity Leave Family The Photo of My Messy Life I'm Proud to Share Pregnancy C-Section Rates May Vary Wildly By State Ultrasounds have become a regular — and very welcome — part of prenatal care. Early in pregnancy, ultrasounds are used to confirm the fetal heartbeat  and a uterine (as opposed to ectopic or tubular) pregnancy. Later, ultrasounds screen for fetal growth, placenta location and umbilical cord, as well as the baby's general health and anatomy. Ultrasounds can also be useful for checking the length of your cervix, if there is any suspicion that you may be in  preterm labor . IN THIS SERIES pregnancy Noninvasive Prenatal Testing (NIPT) pregnancy Amniocentesis pregnancy Bio...

MAGAZETINI LEO JUMAPILI