Skip to main content

Posts

Showing posts from September 21, 2010

CHARCOAL BURNING AND FIREWOOD COLLECTION

Unidentified residents of Iringa on Tuesday were found transporting charcoal and firewood along Iringa-Dodoma Road in Iringa Region. The charcoal and firewood were coming from Isimani in Iringa District to Iringa Urban Center (about 65 kilometeres). The commodities are the  common cooking energy to the most residents in towns because they can not afford to use electricty for cooking due higher tarriffs hence forest degradation. Charcoal burning and firewood collection are some of the factors contributing to climate change and Global Warming.

KIKWETE AANZA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKOANI IRINGA

Wanahabari wakiwa katika picha ya pamoja katika Uwanja wa Ndege Nduli Mjini Iringa leo wakati wakimsubiri Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dr. Jayaka Mrisho Kikwete tayari kwa kuanza kampeni za uchaguzi zake mkoani Iringa. Kutoka kushoto ni Friday Simbaya wa The Guardian-Iringa, Anita Boma wa Uhuru/Mzalendo-Iringa, Issa Michuzi wa DailyNews na Selina Wilson wa Uhuru/Mzalendo-Dar. Journalists sharing experiencce and ideas while waiting for Presidential candidate on the ticket of CCM, Dr Jakaya kikwete at the Nduli Airport in Iringa. The CCM presidential flagbearer has started his election campaign rallies in the region on Tuesday by staring with Kilolo, Kalenga, Isimani and later on in Iringa Urban. CCM Presidential hopeful, Dr Jakaya Kikwete arriving at Nduli Airport in Iringa ready to start his election campaign rallies, he landed at 09:30 hrs morning and was welcomed by Iringa residents today.  Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dr Ja...