Skip to main content

Posts

Showing posts from December 15, 2017

HOTUBA YA RC IRINGA UZINDUZI KAMPENI YA UJEZI WA VIWANDA

Mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza akimkabidhi mpango kazi mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoani iringa frank leonard (kushoto) wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ujenzi wa viwanda mkoa wa iringa leo katika ukumbi wa siasa ni kilimo mjini iringa. (Picha na Friday simbaya) HOTUBA YA MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE. AMINA JUMA MASENZA WAKATI WA KUZINDUA KAMPENI YA “MKOA WETU VIWANDA VYETU” NGAZI YA MKOA KATIKA UKUMBI WA SIASA NI KILIMO TAREHE 15 DES. 2017 Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mkoa, Waheshimiwa Wabunge Milio hudhuria, Mheshimiwa Msitahiki Meya wa Halmauri ya Iringa, Waheshimiwa Wenyeviti wa Halmashauri, Waheshimiwa Madiwani Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Viongozi wa Madhehebu ya Dini, Wakuu wa Taasisi na Mashirika mbalimbali, Wanazuoni wa Vyuo Vikuu, Wadau wa Maendeleo mliohudhuria, Waandishi wa Habari, Wageni waalikwa, Mabibi na mabwana Ndugu wana Iringa, ...

Deputy Minister For Works Warns People Of Road Signs Vandalism

THE Deputy Minister for Works in the Ministry of Transport and Communication, Elias Kwandikwa (MP) is getting details of Mafinga-Igawa road rehabilitation to bitumen standard from China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) contractors and resident engineer Narapati Katel (extreme left)prior to inspection of the road in Mafinga Town, Mufindi district of Iringa region yesterday. (PHOTO BY FRIDAY SIMBAYA)  MUFUNDI: THE Deputy Minister for Works in the Ministry of Transport and Communication, Elias Kwandikwa (MP) said Traffic sign vandalism is a serious concern, since it can lead to an increase in unsafe driving behaviors.  He said Vandalism and theft of signs or other devices result in increased maintenance costs and can even expose local agencies to liability if an. Kwandikwa has called on the people and road users to utilize the road properly to ensure that they maintain road infrastructure to reduce routine maintenance...