HOTUBA YA KAMATI YA BUNGE KUHUSU MUSWADA WA HABARI MAONI, MAPENDEKEZO NA USHAURI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII KUHUSU MUSWADA WA SHERIA WA HUDUMA ZA HABARI WA MWAKA 2016 (THE MEDIA SERVICES BILL, 2016) Friday, 4 November 2016 ____________________ 1.0 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya Kamati kuhusu Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari wa Mwaka 2016 (The Media Services Bill, 2016). Uwasilishaji huu ni kwa mujibu wa Kanuni ya 86 (5) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari 2016. Mheshimiwa Spika, Kwa kuzingatia Kanuni ya 84 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari 2016, uliipa Kamati jukumu la kushughulikia Muswada huu wa Sheria. Aidha, kabla ya kuanza shughuli hiyo muhimu, Kamati ilipata fursa ya kupokea Maelezo ya Serikali kuhusu Muswada tajwa kutoka kwa Mheshimiwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye ...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.