Skip to main content

Posts

Showing posts from May 18, 2017

TGNP: BAJETI YA ELIMU YA MWAKA 2017/2018 HAIJATOA KIPAUMBELE KWA MTOTO WA KIKE

Ofisa wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP), Veronica Magayane akitoa mada wakati wa mkutano wa uchambuzi wa bajeti ya wizara hiyo kwa mlengo wa kijinsia uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wadau wakiwa kwenye mkutano huo. Mkutano ukiendelea. Uchambuzi wa bajeti hiyo ukiendelea. Mzee Hamisi Katumwa akichangia jambo kwenye mkutano huo. Mdau Msafiri Mtakatifu akichangia jambo. Mdau Wilfred akichangia jambo kuhusu bajeti hiyo. Bi. Ester Tibaigana akichangia jambo. Muonekano wa chumba cha mkutano huo wakati wa uchambuzi wa bajeti hiyo. Bi. Marytaus Mbawala akichangia mada. Na Dotto Mwaibale MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umesema bajeti ya mwaka 2017/2018 ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi iliyopitishwa na bunge haijatoa kipaumbele kwa mtoto wa kike. Hayo yalibainishwa na Ofisa wa TGNP, Veronica Magayane wakati akitoa mada kati...

AMKA NA MAGAZETI LEO IJUMAA NA SIMBAYABLOG