Skip to main content

Posts

Showing posts from December 4, 2015

WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI YA GARI ILIYOBEBA MAGAZETI YA MWANANCHI

GARI iliyokuwa imebeba magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti ikitokea Dar es Salaam kuelekea Iringa na Mbeya, imepata ajali katika mlima wa Kitonga, wilayani Kilolo mkoani Iringa leo alfajiri. Watu wawili wamekufa papo hapo na wengine sita kujeruhiwa, mmoja vibaya baada ya gari lililokuwa likisafirisha magazeti ya mwananchi kutoka Dar es Salaam kwenda Iringa na Mbeya kupata ajali eneo la mlima kitonga barabara kuu ya Dar-es-Salaam-Iringa. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa polisi Mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi alisema ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 11 alfajiri gari hilo la magazeti kuingia nyuma ya roli likiwa katika mwendo kasi. “Leo imetoka ajali mbaya sana hapa Iringa, ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Haice iliyokuwa imebeba magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communication LTD; gari hilo lilipata ajali baada ya kuganga lori lenye tela kwa nyuma: “Dereva wa gari hilo lililopata ajali alitaka kulipita roli ambalo nalo lilikuw...

HALMASHAURI YA IRINGA MJINI YATOA AHADI 15 KWA WANANCHI WA JIMBO HILO

Meya wa Manispaa ya Iringa Alex Kimbe na Naibu wake Joseph Lyata, Na Frank Leonard, Iringa MSTAHIKI Meya wa Manispaa ya Iringa Alex Kimbe na Naibu wake Joseph Lyata, wote kutoka Chadema, wamekutana na wanahabari kwa mara ya kwanza ofisini kwao hii leo na kuainisha mikakati yao mbalimbali inayolenga kuharakisha maendeleo ya wananchi wa Jimbo la Iringa Mjini katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Viongozi hao wanaunda halmashauri hiyo baada ya chama chao, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujizolea viti 14 kati ya 18 vya udiwani mjini Iringa huku nafasi ya ubunge ikichukuliwa na chama hicho kwa mara nyingine tena kupitia kwa mbunge yule yule wa 2010-2015, Mchungaji Peter Msigwa. Kuhusu watendaji wa kata, mitaa na vijiji 1. Ni marufuku kuchukua fedha kwa wananchi wakati wakihitaji huduma ya muhuri kwa ajili ya barua za utambulisho, mikopo na zinginezo. Huduma hiyo ni bure sio ya kibiashara 2. Ni marufuku kwa watendaji na wenyeviti kujis...

World Soil Day

World Soil Day 2015 : ‘Soils a solid ground for life’ World Soil day celebrates the importance of soil as a critical component of the natural system and as a vital contributor to the human commonwealth through its contribution to food, water and energy security and as a mitigator of biodiversity loss and climate change. It is celebrated particularly by the global community of 60 000 soil scientists charged with responsibility of generating and communicating soil knowledge for the common good. Soils have been neglected for too long. We fail to connect soil with our food, water, climate, biodiversity and life. We must invert this tendency and take up some preserving and restoring actions. The World Soil Day campaign aims to connect people with soils and raise awareness on their critical importance in our lives.  The WSD 2015 will be celebrated on the 4th of Decemberat FAO headquarters in Rome and FAO regional offices. National events will also be organized so make...

COSATO CHUMI AMALIZA TATIZO LA VITANDA HOSPITAL YA MAFINGA MJINI

Mbunge wa jimbo la Mafinga mji Cotato chumi akimkabidhi msaada wa vitanda ,magodoro pamoja na vifaa mbalimbali kaimu mganga mkuu wa hospitali ya Mafinga dk Abdul Msuya juzi baadhi ya waandishi wa habari wakifuatiliwa ugawaji wa vifaa hivyo wakati wa makabidhiano mbunge wa mafinga mjini cosato chumi akikabidhi vifaa hivyo kwa vitendo baadhi ya wadau na wanachama wa chama cha mapinduzi ccm walihudhulia tukio hilo TATIZO la upungufu wa vitanda katika wodi ya akina mama na watoto katika hospitali ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambalo kwa muda mrefu limekuwa chanzo cha msongamano na uwalazimu baadhi ya wagonjwa kulala sakafuni sasa limepatiwa ufumbuzi baada ya uongozi wa hospitali hiyo kupokea msaada wa vitanda na vifaa tiba kutoka kwa mdau wa maendeleo katika sekta ya afya.   Mbunge wa Mafinga Mjini (CCM) Cosato Chumi alisema kuwa kwa muda mrefu hospitali hiyo ilikuwa ina upungufu wa vifaa mbalimbali ikiwemo vitanda hali iliyofanya kuandika maandiko mbalimbali kwa wahisani...