Skip to main content

Posts

Showing posts from September 21, 2014

DEREVA BODABODA APOTEZA FAHAMU BAADA YA KUGONGANA...!

wakazi wa kata ya mwangata manispaa ya iringa wajikusanya kushuhudia ajali ya pikipiki na pikipiki kugongana uso kwa uso eneo la stendi ya kidamali mwangata iliyotokea jioni hii. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA IRINGA AFUNGUA PAZIA...!

Jesca Msambatavangu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa PAZIA la kinyang’anyiro cha ubunge jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaelekea kufunguliwa baada ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu kuthibitisha kuwania nafasi hiyo.