Skip to main content

Posts

Showing posts from July 23, 2015

KUMEKUCHA WATIA NIA WASHUTUMIANA KWA RUSHWA JIMBO LA IRINGA MJINI

Watia nia Jimbo la Iringa Mjini kushoto ni Peter Mwanilwa, Micheal Mlowe, Mahamudu Madenge, Dk. Yahaya Msigwa, Frank Kibiki na Frederick Mwakalebela wakati wakiongea na waandishi wa habari kuhusu ukiukwaji wa kanunu za uchaguzi wa CCM. Madenge (katikati) akisoma kanunni hizo kwa wanahabari WAKATI Joto la uchaguzi likishuka na kupanda mkoani Iringa kada wa  chama chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa ambaye pia ni  Mwenyekiti wa CCM Mkoa huo na mtia nia kugombea ubunge wa jimbo la  Iringa Mjini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM, Jesca  Msambatavangu ametuhumiwa na makada wenzake wa chama hicho kwa kutoa r ushwa kinyume na matakwa ya maadili na kanuni ya chama hicho. Msambatavangu ametuhumiwa na makada wenzake 11 kati ya 13 ambao  wameomba ridhaa ya kuwania kugombea ubunge jimbo la Iringa Mjini kwa  tiketi ya CCM .

TOP JOBS FOR THIS WEEK

S/No. COMPANY NAME JOB LINK 1.RSM ASHVIR TANZANIA http://www.brightermonday.co.tz/jobs/communication-specialist-1-post 2. ZANZIBAR BEACH RESORT http://www.brightermonday.co.tz/jobs/front-office-manager 3. RELIANCE INSURANCE COMPANY TANZANIA LTD http://www.brightermonday.co.tz/jobs/branch-manager-66 4. ID CARDS SOLUTIONS LTD http://www.brightermonday.co.tz/jobs/business-development-manager-45 5. AGA KHAN FOUNDATION (AKF) http://www.brightermonday.co.tz/jobs/senior-programme-officer-enterprise-economic-development 6. HABITAT FOR HUMANITY TANZANIA http://www.brightermonday.co.tz/jobs/credit-officers 7. THE INTERNATIONAL RESCUE COMMITTEE (IRC) TANZANIA http://www.brightermonday.co.tz/jobs/monitoring-evaluation-coordinator 8. TANZANIA PORTS AUTHORITY http://www.brightermonday.co.tz/jobs/senior-pharmacist 9. MWANANCHI COMMUNICATIONS LTD http://www.brightermonday.co.tz/jobs/freelancer-business-executive-kigoma

HERE COMES WOMEN’S EMPOWERMENT SHOW, SUCCESSFUL WOMEN IN THE SPOTLIGH

Educate, Empower and Inspire is a women’s empowerment show. The aim of this show is to put successful women in the spotlight and get a glimpse as to how they are making a difference to our society and how they can inspire others to do the same. My first guest was Dr. Trish Scanlan who runs the paediatric oncology department at Muhimbili hospital. Since her involvement in 2008, along with her dedicated team of Tanzanian doctors and nurses, the short term survival rates of children with cancer rocketed from 12% to 60%.

UN YAKANUSHA UZUSHI WA JAMII FORUM NA INDIAN OCEAN NEWSLETTER

Mratibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mipango ya maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bw. Alvaro Rodriguez. UMOJA wa Mataifa umetaka vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa kuhakikisha vinatoa taarifa zao kwa usahihi kuhusu maandalizi ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe. Kauli hiyo imetolewa na Ofisi ya Umoja wa Mataifa Dar es salaam, kufuatia taarifa iliyochapishwa na jarida moja kwamba UN inataka kujitoa katika kusaidia mandalizi ya uchaguzi nchini Tanzania.