Skip to main content

Posts

Showing posts from September 25, 2015

Malunde: Wanawake msikubali kurubuniwa kuuza shahada za kupigiakura

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi (DED), Saada Malunde ZIKIWAZIMEBAKIA siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi (DED), Saada Malunde amewataka wanawake kudhibiti shahada zao za kupigiakura na wasikubali kurubuniwa kuuza shahada hizo. Alisema kuwa katika hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu oktoba mwaka huu wanawake mara nyingi wanatumika kisiasa na wanasiasa kwa rubuniwa kwa vitu vidogo. DED huyo alisema hayo wakati akifungua semina ya uongozi wa mwanamke katika kilimo, upatikanaji wa huduma za ugani na pembejeo za kilimo kwa wanawake wakulima mjini Mafinga jana. Mafunzo hayo yaliandaliwa na Shirika la Land O' Lakes chini ya ufadhili wa Shirika la Misaada la watu wa Marekani (USAID) kupitia Mradi wa Ubunifu katika Masuala ya Kijinsia na kuimarisha Uhakika wa Chakula katika ngazi ya kaya.  “Mujue kuwa mukizitoa shahada zena itakuwa mumeuza utu wenu kwa kipindi cha miaka mi...

DED: WOMEN YOU SHOULD NOT ACCEPT SMALL GIFTS FROM POLITICIANS

MUFINDI: Mufindi District Council Executive Director (DED), Saada Malunde has urged women not to be used politically by politicians who come and buy their voter cards, especially this time of the year of election.  Malunde said that in this coming general election in October this year women are often used by politicians for political means by enticing them with small items like salt, dresses t-shirts and caps. DED said this while opening training on women leadership in agriculture, access to extension services and agricultural inputs to woman farmers held at Mafinga Town, Mufindi District in Iringa Region yesterday. The training was organized by the Land O 'Lakes under the auspices of the Organization of American people Aid (USAID) through the Project Innovations in Gender Issues and strengthen food security at the household level. The training attracted 45 participants from all the districts of Iringa Region, including Iringa, Mufindi and Kilolo.  ...

LOWASSA AIBUKA KIDEDEA URAIS, UTAFITI MWENGINE

Taasisi ya Tanzania Development Initiative (TADIP) itakutana na waandishi wa habari Hotel ya Regency, Mikocheni, Dar es Salaam, leo saa 10.30 jioni kwa ajili ya kutoa matokeo ya utafiti wa kura ya maoni kuhusu Uchaguzi Mkuu. Ngoja tuwasikilize na hawa kuwa watazungumza nini juu ya uchaguzi Mkuu. ====================== Kinachoendelea hapa Regency Hoteli muda huu ni George Shembusho Mkurugenzi wa Bodi ya TADIP, anazungumza na waandishi wa habari anasema walifanya mchakato wa utafiti kutokana na mahitaji na mazingira kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015. -TADIP ilifanya utafiti mwezi wa 5 na wa 6, anasema matokeo yaliharibika kutokana na mambo kuingiliana na bodi ya ukurugenzi iliukemea kutokana na baadhi ya watu kuuchukua na kuuchapisha kwenye gazeti Agosti 4. -Anasema katika siku za karibuni kumetokea kasumba ya umma kutafsiri utafiti unaotolewa siku za hivi karibuni kwa njia tofauti kutokana na mazingira jinsi yalivyo. Kushoto ni Kostastin Deus,Mtafiti Mwel...

Hajj stampede: Pope Francis expresses sympathy for Muslim community

Pope Francis expresses his ‘closeness’ to the global Islamic community on Thursday after  more than 700 pilgrims were kille d in a crush in the Mina valley, outside the Islamic holy city of Mecca. Speaking at New York’s St Patrick’s Cathedral, the pope said: ‘I unite myself with you all in prayer to God, our father, all powerful and merciful’

German ex-army sniper jailed for 20 years over 'murder for hire' operation

  US attorney for the Southern District Preet Bharara announced charges against former American soldiers and a former German soldier during a news conference on 27 September, 2013, in New York. Photograph: Louis Lanzano/AP Associated Press A former German army sniper was sentenced to 20 years in prison on Thursday after he was caught in a sting operation that tested whether ex-soldiers would kill a federal agent. Dennis Gogel, 29, was sentenced by US District Judge Laura Taylor Swain in Manhattan, who said a long prison sentence was necessary to deter other soldiers from thinking they could use specialized skills they learned in the military to commit crimes once they were civilians. The judge shaved nearly two years off the 22-year prison term recommended by federal sentencing guidelines, saying she believed Gogel was sincere when he expressed remorse. But she said she doubted his claim that he did not know he was signing up to commit assassinations when he...

MO AMPIKU DANGOTE MFANYABISHARA BORA AFRIKA

Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.(Picha na African Business). Na Mwandishi wetu, New York MTANZANIA Bilionea Mohamed Dewji amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015). Dewji maarufu kama Mo alikabidhiwa tuzo hizo usiku wa kuamkia jana mjini New York. Katika hafla hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Four Season mkabala na jengo la Umoja wa Mataifa (Baraza Kuu) watu wengine waliopata tuzo ni Aliko Dangote, Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa na Helen Hai. MO alimshinda Aliko Dangote ambao walikuwa kwenye Kategori moja wakiwania tuzo hiyo ya mfanyabiashara bora wa Afrika, huku wengine walioshindanishwa kwenye kategori...

Celina Kombani hatunaye tena

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani amefariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu  Kwa kujibu wa taarifa zilizotufikia, Waziri Kombani ambaye pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la Ulanga Mashariki kupitia chama cha Mapinduzi, mwili wake utawasili nchini Jumamosi ya Septemba 26 mwaka huu Mtandao huu wa SimbayaBlog, tunatoa pole kwa familia ya marehemu, wananchi wa jimbo lake na taifa kwa ujumla kwa msiba huu. Pumzika kwa amani kiongozi wetu.

Stampede kills more than 700 at Hajj pilgrimage in Mecca

(CNN) A stampede during one of the last rituals of the Hajj -- the  annual Islamic pilgrimage to Mecca  -- has killed more than 700 people and injured nearly 900 others in Saudi Arabia. The stampede occurred Thursday morning during the ritual known as "stoning the devil" in a tent city in Mina, about two miles from the holy site in Mecca,  Islam's  holiest city. Hajj stampede tragedy kills at least 717 pilgrims   01:54 Footage obtained by CNN Arabic shows a disturbing scene. Bodies piled upon bodies, a few moving, but most appearing lifeless. Workers in hard hats and reflective vests can be seen pulling dead bodies away to get to those who are still alive. The video captures the cacophony of shouts amid the chaos. Ethar El-Katatney, a pilgrim who was near the stampede site about five hours after the surge happened, said she walked past ambulances carrying bodies of victims. She said she saw numerous ...