Skip to main content

Posts

Showing posts from December 16, 2016

KATIBU TAWALA MKOANI MARA AHITIMISHA MAFUNZO KWA WADAU WA FILAMU

Katibu Tawala mkoa wa Mara, Adoh Mapunda (katikati) akizungumza hii leo kwenye kilele cha mafunzo ya siku tatu kwa wadau wa filamu mkoani humo. Mafunzo hayo yalianza juzi Disemba 14,2016 kwenye ukumbi wa shule ya Sekondari Mara Mjini Msoma. Yaliandaliwa na Bodi ya Filamu nchini kwa lengo la kuwajengea welezi wanatasinia wa filamu ili kuzalisha kazi zenye ubora na hivyo kukidhi ushindani katika soko la ndani na nje ya nchi ambapo zaidi ya washiri 200 walionufaika na mafunzo hayo wamepatiwa vyeti. Tayari mafunzo ya aina hiyo yamefanyika mikoa ya Morogoro na Mwanza na yataendelea katika mikoa mingine. #BMGHabari Wanatasnia wa filamu mkoani Mara wakimsikiliza Katibu Tawala mkoani humo, Adoh Mapunda, wakati akifunga mafunzo ya siku tatu kwa wanatasnia hao. Ameahidi kutoa fulana (Tshirt) 250 kwa ajili ya wanatasnia wa filamu mkoani Mara waliohudhuria mafunzo hayo ambapo zitawasaidia hususani kuwa na sare ya aina moja wakikutana kwa pamoja Naibu Katibu Mkuu, Wi...

PPF WADHAMIRIA KUWAFIKIA WATANZANIA WOTE WAKIWEMO WANATASNIA WA FILAMU

Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Meshack Bandawe, akizungumza kwenye mafunzo ya siku tatu kwa wadau wa filamu na michezo ya kuigiza mkoani Mara.  Mafunzo hayo yalanza Disemba 14 na yanafikia tamati leo Disemba 16, 2016 katika ukumbi wa shule ya Sekondari Mara Mjini Musoma. Yameandaliwa na Bodi ya Filamu nchini ili kuwajengea uwezo wadau wa filamu ili kuzalisha kazi zenye ubora. Wadau wa filamu mkoani Mara wakimsikiliza Meneja wa PPF Kanda ya Ziwa, Meshack Bandawe, wakati akiwaeleza umuhimu wa kujiunga na mfuko huo Afisa Masoko PPF, Evance Baguma, akiwasilisha mada kwa wadau wa filamu na maigizo mkoani Mara Wadau wa filamu mkoani Mara wakifuatilia mada kutoka kwa Afisa Masoko PPF, Evance Baguma Wadau wa filamu na maigizo mkoani Mara wamefurahishwa na mada kuhusu mifuko ya hifadhi ya jamii kutoka PPF na kuonesha mwitiko mkubwa wa kujiunga na mfuko wa Pensheni wa PPF. Mfuko wa Pesheni wa PPF umesema umedhamiria kuhakikisha k...

PPF WADHAMIRIA KUWAFIKIA WATANZANIA WOTE WAKIWEMO WANATASNIA WA FILAMU

Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Meshack Bandawe, akizungumza kwenye mafunzo ya siku tatu kwa wadau wa filamu na michezo ya kuigiza mkoani Mara.  Mafunzo hayo yalanza Disemba 14 na yanafikia tamati leo Disemba 16, 2016 katika ukumbi wa shule ya Sekondari Mara Mjini Musoma. Yameandaliwa na Bodi ya Filamu nchini ili kuwajengea uwezo wadau wa filamu ili kuzalisha kazi zenye ubora. Wadau wa filamu mkoani Mara wakimsikiliza Meneja wa PPF Kanda ya Ziwa, Meshack Bandawe, wakati akiwaeleza umuhimu wa kujiunga na mfuko huo Afisa Masoko PPF, Evance Baguma, akiwasilisha mada kwa wadau wa filamu na maigizo mkoani Mara Wadau wa filamu mkoani Mara wakifuatilia mada kutoka kwa Afisa Masoko PPF, Evance Baguma Wadau wa filamu na maigizo mkoani Mara wamefurahishwa na mada kuhusu mifuko ya hifadhi ya jamii kutoka PPF na kuonesha mwitiko mkubwa wa kujiunga na mfuko wa Pensheni wa PPF. Mfuko wa Pesheni wa PPF umesema umedhamiria kuhakikisha k...

Growing passion fruits: What you need to know

Kidamali Maji Company Ltd Managing Director, Steve Steenkamp demonstrates to the Guardian reporter how young vines (passions) are trained to grow along the wire support of the frames yesterday . Thin rope or string tied from the base of the creeping plant to the wire could be utilized for this purpose. (Photo by Friday Simbaya) KIDAMALI residents at Nzihi Ward in Iringa District, Iringa Region and Tanzania at large have been advised to go for passion fruit farming in order to uplift their economic status, hence poverty reduction. According to Kidamali Maji Company Ltd Managing Director Steve Steenkamp, passion fruit farming is still an unexplored kind of fruit farming in Tanzania. He told the Guardian on Wednesday that apart from the fact that passion fruits, just like any other fruit, has its good and bad seasons, but when properly looked after, these fruits can enable a farmer generate significant income. Steenkamp said passion fruit vines perform...

WWF RUAHA WATER PROGRAM-SWAUM EXIT WORKSHOP DAY 2

First Panel discussion on how to address vinyungu (bottom valley cultivation) challenges in progress... Second Panel discussing on sustainable funding for water resources management in progress.. . WWF Tanzania has been working in the Great Ruaha River catchment with a focus on promoting and improving integrated water resources management since 2002.  This was the same year that new National Water Policy was introduced to provide a comprehensive legal and institutional framework for sustainable development and management of the nation’s water resources. Throughout the intervening period however the once perennial Great Ruaha River (GRR) has run dry in the dry season for progressively longer periods.  Throughout the period 2011-2016 WWF Tanzania has been piloting the SWAUM programme – Sustainable Water Access, Use and Management.  SWAUM was explicitly framed and designed to address a situation – shortfalls in water governance in th...